ms babysitter
Member
- Nov 2, 2014
- 55
- 5
Habarini wadau.
Naomba kuuliza kama mtu una supplementary au carryover na ulitakiwa kumaliza chuo mwaka jana (degree) je unaweza kuajiliwa kwenye ajira mpya za walimu zijazo na halmashauri ikakupokea?
Naomba mnijuze jamani.
Naomba kuuliza kama mtu una supplementary au carryover na ulitakiwa kumaliza chuo mwaka jana (degree) je unaweza kuajiliwa kwenye ajira mpya za walimu zijazo na halmashauri ikakupokea?
Naomba mnijuze jamani.