Swala hili halina ukweli wowote'
ajira ziko pale pale,ndugu walimu msiumize vichwa na kupoteza muda wenu kwa kutafakari tetesi ambazo hazina ukweli wowote'__ISHU NI KWAMBA PESA IKO MBIONI KUPATIKANA COZ SERIKALI IMESHAONGEA NA WAHISANI SO MUDA WOWOTE ULE PESA IKIPATIKANA MAMBO YATAJIPYA......(ACHANENI NA gutter information)
Ajira ztatoka mwaka huu,,hata kama ni kwakuchelewa..mayb kama ww ni mshauri mkuu wa serikali umewaambia wafanye hvyo..