Ajira za walimu 2013/2014 zasitishwa.

Ajira za walimu 2013/2014 zasitishwa.

waalimu naona wamekuwa kimya tu.. wanapigwa pigwa kama mpira wa danadana!

hivi hamuwezi kutoa tamko lenu kama waalimu?

kwaniini hamuongei kupitia umoja wenu wa waalimu?

wake up teachers... you are the nation.. you are TANZANIA!!
 
Swala hili halina ukweli wowote'
ajira ziko pale pale,ndugu walimu msiumize vichwa na kupoteza muda wenu kwa kutafakari tetesi ambazo hazina ukweli wowote'__ISHU NI KWAMBA PESA IKO MBIONI KUPATIKANA COZ SERIKALI IMESHAONGEA NA WAHISANI SO MUDA WOWOTE ULE PESA IKIPATIKANA MAMBO YATAJIPYA......(ACHANENI NA gutter information)



Sasa muda wowote pesa itapatikana,sindio hadi mwakani sasa
 
Ajira ztatoka mwaka huu,,hata kama ni kwakuchelewa..mayb kama ww ni mshauri mkuu wa serikali umewaambia wafanye hvyo..
 
Back
Top Bottom