Ajira za walimu 2014/2015 ni majanga


Hili wazo linanishawishi kinoma,ila nina imani ajira zipo hivyo si rahisi kulifanyia kazi.
 
Mliambiwa walimu wanatosha mashuleni, sayansi ndo watapata ajira baadae sana sababu pesa haitoshi kuwalipa mishahara mpaka kufikia mwaka wa fedha 2015/16.

UTATA NOMA!!

jamani achen kuibua hoja ambazo hazina uthibitisho wa kutosha!




kwa habari ya ajira kumekuwa na maneno mengi mpaka kero kwa wasomaji,
hivyo yatupasa kuvumilia mpaka wahusika watoe tamko japo inauma ila....
 

Attachments

  • IMG00001.jpg
    34 KB · Views: 106
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…