Mapesa Molofu
Member
- Mar 29, 2015
- 39
- 0
Walimu unganeni mtafute kiwanja then muende bank kuchukua mkopo mfungue shule yenu na mpigishe kitabu watoto wetu. Hilo ni wazo langu na ninatumaini mkilifanyia kazi mtafanikiwa katika maisha na kuacha kuililia serikali isiyokuwa sikivu kwa watu wake!!!
Hili wazo linanishawishi kinoma,ila nina imani ajira zipo hivyo si rahisi kulifanyia kazi.