Majina ya vituo vya kazi yanategemewa kuitoka katikati ya mwezi huu na kuripoti April mos...source gazeti nipashe la Leo ukurasa wa 8 pia taarifa ya naibu waziri Tawala za mikoa na serikali za mitaa Elimu Kasimu Majaliwa akizungumza katika kipindi cha kumepambazuka Jana cha redio one...Hebu tuvute Subira walimu wenzangu tuone hyo katikati ya mwezi huu ambayo haikutajwa tarehe....
sawa lets wait