Majina ya vituo vya kazi yanategemewa kuitoka katikati ya mwezi huu na kuripoti April mos...source gazeti nipashe la Leo ukurasa wa 8 pia taarifa ya naibu waziri Tawala za mikoa na serikali za mitaa Elimu Kasimu Majaliwa akizungumza katika kipindi cha kumepambazuka Jana cha redio one...Hebu tuvute Subira walimu wenzangu tuone hyo katikati ya mwezi huu ambayo haikutajwa tarehe....
Haya,jiandaeni kwenda vijijini,huku mjini tuachien sisi watoto wa bcom,economics na law.
jidanganye tu
Majina ya vituo vya kazi yanategemewa kuitoka katikati ya mwezi huu na kuripoti April mos...source gazeti nipashe la Leo ukurasa wa 8 pia taarifa ya naibu waziri Tawala za mikoa na serikali za mitaa Elimu Kasimu Majaliwa akizungumza katika kipindi cha kumepambazuka Jana cha redio one...Hebu tuvute Subira walimu wenzangu tuone hyo katikati ya mwezi huu ambayo haikutajwa tarehe....
Huyu kassim majaliwa aanaataka sana uumaarufu mara nyingi anaropoka tu pasipo na ukwelli, last three weeks alikuja na taarifa kuwa internal auditos wataanza ku-repot kwa CAG, kwaa mtu anayeelewa ni kukangaanyana dhana nzima ya stewardship ambayo kimsingi ndio inaaleta dhana ya uwajibikaji. Siku chache tu CAG alkanusha kaulii hiyo.
Kwa kifupi nahic anataka apite upande mwingine kupata umaarufu kama wa Aggrey Mwamri.
Kwa hiyo bado kauli hiyo ya ajira ya walimu siyo reliable kwa sababu ya kiongozi ambaye amekuwa anatoa matamko yasiyo sahihi kwa kutaka sifa asizostahili!!
majanga ma2pu siamini tena kwenye tetesi kauli k2 gani mara ngap wametangaza????tangu january had leo npo zangu private nakula bata mie serikali yangu ni kichwa changu tu!!!!
Mr.Thobias nadhani umechanganya idadi,idadi sahh ni stashahada ni 5,416,shahada ni 12,677, cheti ni 17,928 na vyuo ni 50.
Thats correct! Tafadhar watoa mada muwe makini mnapotoa thread zenu! Hzi habari siye wengne tunatumia kama 'refferences' sasa mnapokosea mnatupoteza! fyuuuu..,...
Vp baba mdogo hajakupa fununu za tarehe rasmi ya kutoa majina?