Ajira za walimu wapya hizoo!

Ajira za walimu wapya hizoo!

CEYLON

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
305
Reaction score
141
Serikali kuweka majina wazi ya walimu wapya muda wowote kuanzia sasa. Chanzo:Katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi,Prof.SIFUNI MCHOME katika kipindi cha HOT MIX - EATV.
 
Muda wowote ni upi? Katika kalenda au saa hakuna muda wowote. Nyani alisema "yutajenga nyumba kesho"
 
humu jf unaambiwa serikali aina pesa.wewe unafikiria watatoa wapi hela za kuwalipa walimu wapya?.labda utokee mwujiza
 
Serikali kuweka majina wazi ya walimu wapya muda wowote kuanzia sasa. Chanzo:Katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi,Prof.SIFUNI MCHOME katika kipindi cha HOT MIX - EATV.


Ni kama sijapata habari yenye matumaini hapo. Suala la ajira kutolewa muda wowote kutoka sasa(siku isiyo na jina) kila mmoia analijua hilo...... Sijapata wazo jipya kutoka kwenye hayo maelezo!!!! Kuna ufafanuzi gani alio utoa!????
 
Mulugo is right, ajira za walimu hutoka frebruary mosi hadi march 30.
 
Mulugo is right, ajira za walimu hutoka kati ya February 1 na March 30.

Uniwie radhi nime'edit baadhi ya sehemu.

Hapo kwenye bold ashatupwa kule.

Kwa sasa anasikilizwa Mhe. Majaliwa, na Januari bado ipo.
 
Maelezo ya kisiasa tu.
Angesema muda wowote kabla ya Januari kuisha, kidogo matumaini yangekuwepo.
Ni kama sijapata habari yenye matumaini hapo. Suala la ajira kutolewa muda wowote kutoka sasa (siku isiyo na jina) kila mmoia analijua hilo...... Sijapata wazo jipya kutoka kwenye hayo maelezo!!!! Kuna ufafanuzi gani alio utoa!????
 
Ni kama sijapata habari yenye matumaini hapo. Suala la ajira kutolewa muda wowote kutoka sasa(siku isiyo na jina) kila mmoia analijua hilo...... Sijapata wazo jipya kutoka kwenye hayo maelezo!!!! Kuna ufafanuzi gani alio utoa!????

Katibu amefafanua kidogo,amesema suala la kuajiri walimu wa shule za sekondari lipo chini ya TAMISEMI na tayari tamisemi imeshawapangia halimashauri ambazo walimu wapya wataenda kuripoti.
 
Katibu amefafanua kidogo,amesema suala la kuajiri walimu wa shule za sekondari lipo chini ya TAMISEMI na tayari tamisemi imeshawapangia halimashauri ambazo walimu wapya wataenda kuripoti.


Mkuu, kuhusu TAMISEMI tunajua, kuhusu kupangiwa halmashauri liko obvious!! Hoja hapa ni lini majina yatawekwa hadharani!??? Nilikuwa nadhani kama kiongozi kutoka serikalini hakutakiwa kutuletea taarifa ambayo haina deadline!!! Pengine angesema wakati wowote kabla ya tarehe Fulani au kati ya tarehe fulani mpaka tarehe fulani, kwa kuzingatia mwezi tajwa.............. Lakini hiyo ya kusema wakati wowote kuanzia sasa......... Inaweza ikawa kuanzia sasa mpaka may labda!!!!
 
Back
Top Bottom