hatimaye serikali umevunja mabishano ambayo yamekuwakero kwa baadhi ya wanachuo, especially wanafunzi ambao hawajitambui kwa kuishia kusema kuwa UDSM NI BORA, mbona ajira ya mwaka huu wanafunzi wote wa vyuo wamepangiwa kwa usawa bila kujali cha GPA, hongereni sana wa nafunzi wa sekomu abao mmepangiwa shule mojakwa moja kilingana na umuhimu wa wanafunzi hao hakuna cha UDSM wala Mzumbe,aibu yenu ud......................
Kumbe SAUT wanachukua tu masters aibu yenu vyuo vya privatenifuate nn ud, naenda zangu SAUT, au UDOM (nachukua MSC.in PHYSICS kiulain)
hatimaye serikali umevunja mabishano ambayo yamekuwakero kwa baadhi ya wanachuo, especially wanafunzi ambao hawajitambui kwa kuishia kusema kuwa UDSM NI BORA, mbona ajira ya mwaka huu wanafunzi wote wa vyuo wamepangiwa kwa usawa bila kujali cha GPA, hongereni sana wa nafunzi wa sekomu abao mmepangiwa shule mojakwa moja kilingana na umuhimu wa wanafunzi hao hakuna cha UDSM wala Mzumbe,aibu yenu ud......................
tena wamepangiwa mijini wote, nimewafurahia sana wadogozangu from SEKOMU, BIGUP,
Hivi sekomu ni chuo au dawa ya kienyeji ni chuo cha ngapi kwa ubora afrika
Hivi sekomu ni chuo au dawa ya kienyeji ni chuo cha ngapi kwa ubora afrika
hatimaye serikali umevunja mabishano ambayo yamekuwakero kwa baadhi ya wanachuo, especially wanafunzi ambao hawajitambui kwa kuishia kusema kuwa UDSM NI BORA, mbona ajira ya mwaka huu wanafunzi wote wa vyuo wamepangiwa kwa usawa bila kujali cha GPA, hongereni sana wa nafunzi wa sekomu abao mmepangiwa shule mojakwa moja kilingana na umuhimu wa wanafunzi hao hakuna cha UDSM wala Mzumbe,aibu yenu ud......................
your kid ...!
hope umetoka teku
jifariji tuu
angalizo
naomba masters yako ukasome huko huko usije UDSM, MZUMBE, SUA, ... !
QUANTITY SURVEYOR