Kwa taarifa nilizozipa hivi punde kutoka kwa kigogo mmoja anayefanyia kazi wizarani zinasema kwamba serikali haina fedha za kuajiri walimu, kwa hiyo inabidi walimu hao wawe na subira hadi mwezi wa saba 2013. Walimu kuweni na subira mwezi wa saba siyo mbali.
NB: Hii ni taarifa nawasilisha
Hata wale walioajiriwa mwaka jana taarifa ilitoka kwa kgogo kua wataajiriwa septemba 2012 lakn wakaajiriwa februar mosi 2012.
kwa hyo unatakiwa kuchukua tahadhar kutoka kwa vigogo vingne ni vkavu
ajira zimeshatoka
Hiv unapata faida gan mtu mzima kudanganya? Sasa wap tutapojadili mambo ya msingi na kupatiana tarifa za uhakika kama sio hapa? Acha uharibifu wew....nenda kwenye jukwaa la utani/udaku litakufaa...
mkuu mbona unawafanyia utani wenzio wana hamu na kazi.
chezea walimu weye
mbona una jazba? nenda www.moe.go.tz