M CM
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 2,495
- 1,477
Kwa taarifa nilizozipa hivi punde kutoka kwa kigogo mmoja anayefanyia kazi wizarani zinasema kwamba serikali haina fedha za kuajiri walimu, kwa hiyo inabidi walimu hao wawe na subira hadi mwezi wa saba 2013. Walimu kuweni na subira mwezi wa saba siyo mbali.
NB: Hii ni taarifa nawasilisha
NB: Hii ni taarifa nawasilisha