Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshatulia sasaTulia uandike vizuri.
Jpm aliua mfumo wa ajira tanzania. Mama anaurudisha taratibu. Jpm huko uliko kufa tenaKwa mwezi Tanzania inazalisha jumla ajira kiasi gani?
Haya hebu nieleze fursa hizo ni za Kada gani? Idadi Gani? na utaratibu wa kuziomba unakuwaje?Nimeshatulia sasa
Nenda ajira portal. Usipende kutafuniwa kila kitu. Nyie ndo wale mnasoma vichwa vya habari na kuconcludeHaya hebu nieleze fursa hizo ni za Kada gani? Idadi Gani? na utaratibu wa kuziomba unakuwaje?
Nyingi mno. Hata jeshi sasa hivi lile zuio eti mpaka upite jkt alilifutaMama amezalisha ajira kiasi gani mpaka sasa??
Mama amezalisha ajira kiasi gani mpaka sasa?Jpm aliua mfumo wa ajira tanzania. Mama anaurudisha taratibu. Jpm huko uliko kufa tena
Weka habari kamili mkuu, wewe si umekuja kutangaza fursa basi huna haja ya kusema nusu nusu.Nenda ajira portal. Usipende kutafuniwa kila kitu. Nyie ndo wale mnasoma vichwa vya habari na kuconclude
Ajira portal inaonyesha ajira za serikali tu tena mara moja moja zinapotoka.Nenda ajira portal. Usipende kutafuniwa kila kitu. Nyie ndo wale mnasoma vichwa vya habari na kuconclude
www. ajiraportal. ac. tz. Kwa msaada zaidiWeka habari kamili mkuu, wewe si umekuja kutangaza fursa basi huna haja ya kusema nusu nusu.
danganya toto sababu ya uchaguzi. Just wait utaona ukweli wakeSeriksli imemwaga ajira kila pahala na kila sector. Huku sector binfsi sasa usiseme.
Akikujibu nitagHaya hebu nieleze fursa hizo ni za Kada gani? Idadi Gani? na utaratibu wa kuziomba unakuwaje?
Sawawww. ajiraportal. ac. tz. Kwa msaada zaidi
Nenda ajira portalAkikujibu nitag
Na usingemtaja mwamba uzi wako usingepata komment hata mojaSeriksli imemwaga ajira kila pahala na kila sector. Huku sector binfsi sasa usiseme.
Hivi kwa nini huwa mnsmuita mwamba? Au mwamba wa kuhalibu kila kituNa usingemtaja mwamba uzi wako usingepata komment hata moja