Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako siku ikikomaa utajua.Hivi kwa nini huwa mnsmuita mwamba? Au mwamba wa kuhalibu kila kitu
Kila kitu alikosea. Kosa lake kuu ni kuwa rais wakati alikuwa hafai na hastahiliUna matatizo yoyote na Magufuli ? Magufuli alikosea nini kikubwa haswa ?
Alikuwa hafai kwa sababu gani na nani anafaa hapo CCM ?Kila kitu alikosea. Kosa lake kuu ni kuwa rais wakati alikuwa hafai na hastahili
Jiajiri umasikini sio sifa! Kwani magus alianzisha ajira ngapi?Nchi zinazojielewa huwa zinatoa taarifa ya idadi ya ajira zinazozalishwa kila maada ya miezi mitatu(robo mwaka) na unemployment rate pia.
Ajira zeroAlikuwa hafai kwa sababu gani na nani anafaa hapo CCM ?
Alikosea kila kitu kama nini na nini ? Orodhesha
Viligawiwa vitambulisho vya ujasiriamali vingapi nchini wakati huo? Ajira za kujiajiri ndizo za uhakika. Ukiwa na idadi kubwa ya wajasiriamali ndivyo unaongeza uwezekano wa kuongeza ajira sekta binafsi na kukuza wigo wa Kodi ili serikali ipate mapato bila pressure.Jpm aliua mfumo wa ajira tanzania.
Ni kazi ya Waziri wa uchumi au ajira kutoa taarifa idadi ya ajira zinazozalishwa kila robo mwaka.www. ajiraportal. ac. tz. Kwa msaada zaidi
Pale ndo alihalibu sana. Nani alithibitisha kutolewa vitambusho vile. Je bunge ndo lilimshauri au alivunja katiba kama kawaida yake kutojali katibaViligawiwa vitambulisho vya ujasiriamali vingapi nchini wakati huo? Ajira za kujiajiri ndizo za uhakika. Ukiwa na idadi kubwa ya wajasiriamali ndivyo unaongeza uwezekano wa kuongeza ajira sekta binafsi na kukuza wigo wa Kodi ili serikali ipate mapato bila pressure.
====
Usifanye jicho lako la tatu liwe vivu kuona yaliyonyuma ya pazia.
Soma economic bulletin ya kila robo mwaka ipo website ya wizaraNi kazi ya Waziri wa uchumi au ajira kutoa taarifa idadi ya ajira zinazozalishwa kila robo mwaka.
Wanatakiwa pia watoe na taarifa za ukuaji uchumi na mfumuko wa bei, kituko ni kwamba TRA wanatangaza makusanyo ya mapato jambo ambalo halimgusi mwananchi!
ChoiceVariable
Na pia inazalisha chawa wangapi?Kwa mwezi Tanzania inazalisha jumla ya ajira kiasi gani?
Iko kwa Kiswahili?Soma economic bulletin ya kila robo mwaka ipo website ya wizara
Badala ya kumkimbiza mgonjwa wa ajali ya barabarani hospitali unasema, hapana asubiri aje atoe maelezo kwa traffic Polisi ajali imetokeaje wakati unajua kabisa visanduku vya huduma ya kwanza vyote hapo vina vichupa vitupu vya spirit bila dawa yoyote Wala bandeji, vile vile unajua kabisa tunamsubiri traffic police anayeahangaika kupata tepu yake aliyopoteza ili aje apime eneo la ajali.Pale ndo alihalibu sana. Nani alithibitisha kutolewa vitambusho vile. Je bunge ndo lilimshauri au alivunja katiba kama kawaida yake kutojali katiba
Ukweli Magu kwenye ajira alizingua, sehemu nyingi zilidorola angalia mazao kama korosho na mbaazi hali haikuwa nzuri na hata hivyo vitambulisho vya wamachinga haikuwa na impact yoyote kiuchumi huwezi kukuza uchumi wa nchi kwa watu wako kuuza soksi na mikanda.Viligawiwa vitambulisho vya ujasiriamali vingapi nchini wakati huo? Ajira za kujiajiri ndizo za uhakika. Ukiwa na idadi kubwa ya wajasiriamali ndivyo unaongeza uwezekano wa kuongeza ajira sekta binafsi na kukuza wigo wa Kodi ili serikali ipate mapato bila pressure.
====
Usifanye jicho lako la tatu liwe vivu kuona yaliyonyuma ya pazia.
Wamekulipa shilling ngapi Boss wanguKila kitu alikosea. Kosa lake kuu ni kuwa rais wakati alikuwa hafai na hastahili
Weka uthibitishoUkweli Magu kwenye ajira alizingua, sehemu nyingi zilidorola angalia mazao kama korosho na mbaazi hali haikuwa nzuri na hata hivyo vitambulisho vya wamachinga haikuwa na impact yoyote kiuchumi huwezi kukuza uchumi wa nchi kwa watu wako kuuza soksi na mikanda.
Samia a k.a chura kiziwi hatakiwi Tanganyika post 2025 . Mwenye masikio na asikie .Ukweli Magu kwenye ajira alizingua, sehemu nyingi zilidorola angalia mazao kama korosho na mbaazi hali haikuwa nzuri na hata hivyo vitambulisho vya wamachinga haikuwa na impact yoyote kiuchumi huwezi kukuza uchumi wa nchi kwa watu wako kuuza soksi na mikanda.
"Ajira zero" sio kweli huu ni uongo uliowazi alitoa ila kwa kiwango chake na hata sasa zinatolewa kwa kiwango chake.Ajira zero
Kuteka
Kuua
Kuharibu masoko ya kilimo
Bashara kufa
Wawekezaji kukimbia
Kuongoza nchi kissnii
Takwimu za uongo
Nk.