Ajiua baada ya kufumaniwa akichepuka

Ajiua baada ya kufumaniwa akichepuka

badala ya kupekuwa kipochi manyoa usiku unahangaika na yasiyokuhusu!
Kinapekulika sasa??? unakuta ameshachakatwa huko

Mwenyewe anakuambia niache nimechoka wewe utafanyaje kama siyo kuchukua simu ucheze game mara ktk ya mchezo wazo linakujia “em pekua simu ya huyo mwanamke”
 
Kama mwanamke hajawahi kukufumania hata mara moja, ikatokea yeye akawa wa kwanza kufumaniwa na ukamdaka ,basi ili awe salama mtandike walau makofi mawili. Ukimuacha kiupole haki atajiua
Sasa kuliko umpige makofi akufie (maana siku hizi watu wanatembea wakiumwa) kwa nini usimuache akenda jifia mwenyewe tu?

By the way,unamsamehe wewe wa kazi gani tena!!!
 
RIP.

Washambuliaji wa "Kataa Ndoa" wako wapi mbele pale lango liko waazi kabisa wanafanya ajizi!
 
Tuendelee kuangamiza wazinzi wote wanaojivika kivuli cha Mrs.X
 
Hii tunawaachia mjikanyage wenyewe.. 😁😁
Kataa Ndoa wamechoka kabla hata dakika 90 hazijaisha wasikilizaji.

Minong'ono ni kwamba hata wao wenyewe hawaiamini kauli mbiu yao siku hizi.

Wanafanya maigizo kama timu ya Tanzania katika AFCON pale mbele.

Hapana, hata mbele hawafiki.

Wanacheza nusu uwanja 🤣🤣🤣
 
Kukutwa na sms za kimapenzi kwenye simu ndiyo kufumaniwa?
 
Back
Top Bottom