Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Kwanini hukumshauri alinde ndoa yakeR.i.P Classmate...😪
Umetangulia kwa aibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hukumshauri alinde ndoa yakeR.i.P Classmate...😪
Umetangulia kwa aibu sana
Kinapekulika sasa??? unakuta ameshachakatwa hukobadala ya kupekuwa kipochi manyoa usiku unahangaika na yasiyokuhusu!
Kwamba unataka case apewe mumewe???Doesn't add up.
What if alinyweshwa.
Sasa kuliko umpige makofi akufie (maana siku hizi watu wanatembea wakiumwa) kwa nini usimuache akenda jifia mwenyewe tu?Kama mwanamke hajawahi kukufumania hata mara moja, ikatokea yeye akawa wa kwanza kufumaniwa na ukamdaka ,basi ili awe salama mtandike walau makofi mawili. Ukimuacha kiupole haki atajiua
Comment dume hii..!badala ya kupekuwa kipochi manyoa usiku unahangaika na yasiyokuhusu!
Alichagua external pipe wakati ndani anayo..🤣Kwanini hukumshauri alinde ndoa yake
Aibu kakuachia classmate wake.R.i.P Classmate...😪
Umetangulia kwa aibu sana
Hii aibu ya dunia mkuu...Aibu kakuachia classmate wake.
Hii tunawaachia mjikanyage wenyewe.. 😁😁RIP.
Washambuliaji wa "Kataa Ndoa" wako wapi mbele pale lango liko waazi kabisa wanafanya ajizi!
Kataa Ndoa wamechoka kabla hata dakika 90 hazijaisha wasikilizaji.Hii tunawaachia mjikanyage wenyewe.. 😁😁
Jamaa mzembe sana ila marehemu ni mzembe zaidi.Anajiua why?badala ya kupekuwa kipochi manyoa usiku unahangaika na yasiyokuhusu!
Password nzuri ni dushe, ukiweka dushelele kama password ni ngumu kufunguaFingerprint haijawahi kuwa password ya maana. Unalala mtu anaweka kidole tu mzigo waaa!.
Huyo mumewe ni hamnazo.badala ya kupekuwa kipochi manyoa usiku unahangaika na yasiyokuhusu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jina la hiyo sehemu linataka kuendana na la yule billionaire Genius Ginimbi. Marehem alikuwa na msongo wa mawazo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiuuFingerprint haijawahi kuwa password ya maana. Unalala mtu anaweka kidole tu mzigo waaa!.