Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hard to believeUkisikia maamuzi magumu ndio haya. Kajichinja kwa msumeno wa umeme! Maumivu aliyopata hayaelezeki...
Kabisa. Sio rahisikuna haja ya kuchunguzaa.
Amna kuna namnaKwahio jamaa kaona hii ndio njia ya kumkomoa boss wake duh
Ajari au kulikua na ugomviinaonekana kama ajali iliyotokea eneo la kazi, mmiliki kwa kushirikiana na jamaa zetu wameshatengeneza story hapo.
Bongo muvi zimewaharibu sana.Kijana Kepteni Warioba (23) amejiua kwa kujikata na mashine ya kupasua mbao leo Juni 16, 2023, Moshi mkoani Kilimanjaro, huku akiacha ujumbe wa kumtaka bosi wake aende kumzika mkoani Mara na asipofanya hivyo atakuwa anamuona na kumsumbua mara kwa mara.
Tukio hilo limetokea leo Juni 16, 2023, katika mtaa wa Kalkacha, ambapo mashuhuda wamesema kuwa marehemu alikuwa mfanyakazi wa karakana ya kupasua mbao ya tajiri anayefahamika kwa jina la Erasto, ambaye anashikiliwa na polisi kwa mahojiano.
View attachment 2659754
#EastAfricaTV
Hichi ndio kimefanya nichekeBongo muvi zimewaaribu sana.
Amekuwa insipayadi na muvii ya SAWBongo muvi zimewaaribu sana.
NsyukaAmekuwa insipayadi na muvii ya SAW
Aisee!Nsyuka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwannn sas aweke mashart nafuu zaidi
Not a classmate?!!![emoji18][emoji848]R.I.P