Ajiua na kumtaka bosi wake akamzike Musoma badala ya Moshi

Ajiua na kumtaka bosi wake akamzike Musoma badala ya Moshi

Kijana Kepteni Warioba (23) amejiua kwa kujikata na mashine ya kupasua mbao leo Juni 16, 2023, Moshi mkoani Kilimanjaro, huku akiacha ujumbe wa kumtaka bosi wake aende kumzika mkoani Mara na asipofanya hivyo atakuwa anamuona na kumsumbua mara kwa mara.

Tukio hilo limetokea leo Juni 16, 2023, katika mtaa wa Kalkacha, ambapo mashuhuda wamesema kuwa marehemu alikuwa mfanyakazi wa karakana ya kupasua mbao ya tajiri anayefahamika kwa jina la Erasto, ambaye anashikiliwa na polisi kwa mahojiano.

View attachment 2659754

#EastAfricaTV
Bongo muvi zimewaharibu sana.
 
Hio
IMG-20230616-WA0013.jpg
 
Depression and other mental health issues are real...
 
Back
Top Bottom