Tetesi: Akagera National Park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori ya Burigi na Kimisi na kuwafungia kwenye fensi

Tetesi: Akagera National Park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori ya Burigi na Kimisi na kuwafungia kwenye fensi

Hivi asili ya neno KAGERA ni mto au ni MAPORI?je kuna haja gani ya kuchochea.
Amechochea nini, sasa naanza kuelewa kwanini wazalendo kama hawa wanaishia kuitwa wachochezi, yeye kama Mtanzania anayeipenda nchi yake ametoa taarifa kinachotakiwa ni vyombo husika vifuatilie kujua ukweli wake.
 
Hoja ni ulinzi au kupandishwa hadhi?

Serengeti Ni national park lakini wanyama wanaenda Kenya kila siku.
Mkuu hatukatai kuwa wanyama huwa wanahama Serengeti na kwenda masai Mara Kenya ambapo uhamaji huo ni wa asili, tatizo la Rwanda ni kujenga fensi kwamba wameingia wasirudi tena Tanzania. Kenya hawajawazuia kurudi
 
Urafiki binafsi ni bora zaidi hayo mengine si kipaumbele, mtajuana wenyewe.
 
Ndo maana EAC haiwezi kudumu ikiwa majirani wana tabia chafu kama hizi!! Usikute hata wanajeshi wetu kule DRC wanauliwa na majeshi ya jirani yetu!;
 
Bado tunakosa usiriaz hata kwenye vitu vya maana,hili jambo mamlaka zitalichukulia poa tu kama ilivyo kawaida.....!!wakati huu kwa Mkoa wa Mwanza wapo wanaandikisha vitambulisho vya utaifa na kuna Wanyarwanda wataandikishwa vitambulisho hivyo,wapite maeneo ya Bugarika wakague waone kama hawata wapata....
 
Rwanda wanatuonea sana, Huu undezi unasababishwa Na Yale mavumba ya kichawi Na mafusho ya kwenye mwenge
Kuna vitu viwili Mwl ametuachia, ni tabu. Kimoja hicho ulichotaja.
 
Wanyama kuhama Ni kitu cha kawaida tatizo linakuja wanapojenga fence Ili wanyama wakishaingia kwenye hifashi Yao wasitoke tena. Wahusika wafuatiliena kutatua hili tatizo.TUsichukulie poa wenzetu Ni wajanjawajanja Sana!
 
Akagera national park ya rwanda inavyochukua wanyama wa poli la burigi, kimisi ,rumanyika na ibanda na kuwafungia kwenye fence-h kigwangala umelala

Akagera national park ni mbuga inayounganisha mapoli ya tanzania na rwanda , tanzania kuna mapoli mengi ambayo badala ya kuyapandisha hadhi tumeyaacha kama game resrve ambayo ni wa poli la burigi, kimisi ,rumanyika na ibanda. rwanda mbuga yao inayoungana na mapoli aya wameifanya national park .

Inalindwa na jeshi la rwanda. kutoka na vita wanyama wengi walikuwa upande wa tanzania miaka ya 80 mpaka 90, wilaya ya biharamulo wanyama walikuwa nakuja mpaka mjini suala la kuona simba, chui , swala , nyani na kifaru ilikuwa suala la kawaida na tembo . lakini kwa sasa wamepotea.

Na hii historia imeanza baada ya rwanda kupandisha ifadhi ya akagera na kuifanya nationa park.

1. wanatumia jina la akagera kuwaadaa watalii wanaodhani wakuja mkoa kagera na kiuhalisia mbuga hiyo inapakana na kagera kwani wanshare wanyama na mapoli ya kagera

2. mapoli ya kagera yalivamiwa na wanyarwanda kimkakati na kuanza kuchoma moto mapoli ya tanzania na kuwafukuza wanyama kuamia poli lao la akagera.

3 jeshi la jirani lilianza kuteka poli la burigi , na serikali kupeleka operation ya kusindikiza magari ili hali rwanda wana fukuza wanyama na kuwapeleka poli lao .

4. baada ya wanyama wa kila aina toka mapoli ya kagera kujaa poli la akagera wamezungusha fence ya moto wa umeme kuwazuia wasirudi na wanaoingia kwenye fence awarudi .

Ushauri wa bure ... tulishakosea zamani tusifufue makaburi ,nashauri ipandishwe hadhi poli la burigi na kuwa national park ili tudhibiti wanyama wetu ili kujua idadi ya wanyama na kuwatrack

hujaeleweka kabisa....nenda shule kwanza
 
Bado tunakosa usiriaz hata kwenye vitu vya maana,hili jambo mamlaka zitalichukulia poa tu kama ilivyo kawaida.....!!wakati huu kwa Mkoa wa Mwanza wapo wanaandikisha vitambulisho vya utaifa na kuna Wanyarwanda wataandikishwa vitambulisho hivyo,wapite maeneo ya Bugarika wakague waone kama hawata wapata....
Afrika moja shida nini?
 
H kiwangala yuko sawa tu
Hii Nchi imeshageuka shamba la bibi
Yes !ukuta lazima mpaka wote wa Tanzania majirani wote hawafai.Mtihani lake Victoria na Tanganyika itahitaji utalaamu wa ziada kujenga ukuta kwenye ziwa.
 
Back
Top Bottom