Amechochea nini, sasa naanza kuelewa kwanini wazalendo kama hawa wanaishia kuitwa wachochezi, yeye kama Mtanzania anayeipenda nchi yake ametoa taarifa kinachotakiwa ni vyombo husika vifuatilie kujua ukweli wake.Hivi asili ya neno KAGERA ni mto au ni MAPORI?je kuna haja gani ya kuchochea.
Mkuu hatukatai kuwa wanyama huwa wanahama Serengeti na kwenda masai Mara Kenya ambapo uhamaji huo ni wa asili, tatizo la Rwanda ni kujenga fensi kwamba wameingia wasirudi tena Tanzania. Kenya hawajawazuia kurudiHoja ni ulinzi au kupandishwa hadhi?
Serengeti Ni national park lakini wanyama wanaenda Kenya kila siku.
Yep! Gazeti la Tanzanite si wakajaribu kuiga! Ile wamechapisha habari moja, wakatiwa misuko suko mpaka wamechanganyikiwa.Hii ndio jamii forums niijuayo. Hoja mujarabu
Kuna vitu viwili Mwl ametuachia, ni tabu. Kimoja hicho ulichotaja.Rwanda wanatuonea sana, Huu undezi unasababishwa Na Yale mavumba ya kichawi Na mafusho ya kwenye mwenge
Ungechangia na mada kidogo ingependezaNyie watu kwanini pori mnaita "poli"?
Aaaaahhh mnakera sana
na siku zote mtua uanza kwa kuibiwa kidgo kidgo hadi zinaishaHuwezi kumfilisi Bill Gates kwa kumuibia Tsh milioni mia. Tz ni tajiri wa rasilimali za wanyama na mbuga za wanyama. Hatuwezi kuathirika kwa udokozi wao wa swalla wawili, watatu.
Hata akijua atafanya nini wakati kaomba hadi ulinzi anapewa na hao jamaaSizonje anajua hili
Msiwabeze sana mkawatoa kwenye mada hizo ni lafuzi tu Mbona zinatumiwa sana na baadhi ya maeneoKwa siku za karibuni uandishi umekuwa kero kubwa sana.Kwa bahati mbaya ni watu wazima kabisa wenye matatizo hayo.
Aiseee..kagame ana mke wa pili pale kivukoni
Akagera national park ya rwanda inavyochukua wanyama wa poli la burigi, kimisi ,rumanyika na ibanda na kuwafungia kwenye fence-h kigwangala umelala
Akagera national park ni mbuga inayounganisha mapoli ya tanzania na rwanda , tanzania kuna mapoli mengi ambayo badala ya kuyapandisha hadhi tumeyaacha kama game resrve ambayo ni wa poli la burigi, kimisi ,rumanyika na ibanda. rwanda mbuga yao inayoungana na mapoli aya wameifanya national park .
Inalindwa na jeshi la rwanda. kutoka na vita wanyama wengi walikuwa upande wa tanzania miaka ya 80 mpaka 90, wilaya ya biharamulo wanyama walikuwa nakuja mpaka mjini suala la kuona simba, chui , swala , nyani na kifaru ilikuwa suala la kawaida na tembo . lakini kwa sasa wamepotea.
Na hii historia imeanza baada ya rwanda kupandisha ifadhi ya akagera na kuifanya nationa park.
1. wanatumia jina la akagera kuwaadaa watalii wanaodhani wakuja mkoa kagera na kiuhalisia mbuga hiyo inapakana na kagera kwani wanshare wanyama na mapoli ya kagera
2. mapoli ya kagera yalivamiwa na wanyarwanda kimkakati na kuanza kuchoma moto mapoli ya tanzania na kuwafukuza wanyama kuamia poli lao la akagera.
3 jeshi la jirani lilianza kuteka poli la burigi , na serikali kupeleka operation ya kusindikiza magari ili hali rwanda wana fukuza wanyama na kuwapeleka poli lao .
4. baada ya wanyama wa kila aina toka mapoli ya kagera kujaa poli la akagera wamezungusha fence ya moto wa umeme kuwazuia wasirudi na wanaoingia kwenye fence awarudi .
Ushauri wa bure ... tulishakosea zamani tusifufue makaburi ,nashauri ipandishwe hadhi poli la burigi na kuwa national park ili tudhibiti wanyama wetu ili kujua idadi ya wanyama na kuwatrack
hujaeleweka kabisa....nenda shule kwanza
Afrika moja shida nini?Bado tunakosa usiriaz hata kwenye vitu vya maana,hili jambo mamlaka zitalichukulia poa tu kama ilivyo kawaida.....!!wakati huu kwa Mkoa wa Mwanza wapo wanaandikisha vitambulisho vya utaifa na kuna Wanyarwanda wataandikishwa vitambulisho hivyo,wapite maeneo ya Bugarika wakague waone kama hawata wapata....
Yes !ukuta lazima mpaka wote wa Tanzania majirani wote hawafai.Mtihani lake Victoria na Tanganyika itahitaji utalaamu wa ziada kujenga ukuta kwenye ziwa.H kiwangala yuko sawa tu
Hii Nchi imeshageuka shamba la bibi