Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akagera national park ya rwanda inavyochukua wanyama wa poli la burigi, kimisi ,rumanyika na ibanda na kuwafungia kwenye fence-h kigwangala umelala
Akagera national park ni mbuga inayounganisha mapoli ya tanzania na rwanda , tanzania kuna mapoli mengi ambayo badala ya kuyapandisha hadhi tumeyaacha kama game resrve ambayo ni wa poli la burigi, kimisi ,rumanyika na ibanda. rwanda mbuga yao inayoungana na mapoli aya wameifanya national park .
Inalindwa na jeshi la rwanda. kutoka na vita wanyama wengi walikuwa upande wa tanzania miaka ya 80 mpaka 90, wilaya ya biharamulo wanyama walikuwa nakuja mpaka mjini suala la kuona simba, chui , swala , nyani na kifaru ilikuwa suala la kawaida na tembo . lakini kwa sasa wamepotea.
Na hii historia imeanza baada ya rwanda kupandisha ifadhi ya akagera na kuifanya nationa park.
1. wanatumia jina la akagera kuwaadaa watalii wanaodhani wakuja mkoa kagera na kiuhalisia mbuga hiyo inapakana na kagera kwani wanshare wanyama na mapoli ya kagera
2. mapoli ya kagera yalivamiwa na wanyarwanda kimkakati na kuanza kuchoma moto mapoli ya tanzania na kuwafukuza wanyama kuamia poli lao la akagera.
3 jeshi la jirani lilianza kuteka poli la burigi , na serikali kupeleka operation ya kusindikiza magari ili hali rwanda wana fukuza wanyama na kuwapeleka poli lao .
4. baada ya wanyama wa kila aina toka mapoli ya kagera kujaa poli la akagera wamezungusha fence ya moto wa umeme kuwazuia wasirudi na wanaoingia kwenye fence awarudi .
Ushauri wa bure ... tulishakosea zamani tusifufue makaburi ,nashauri ipandishwe hadhi poli la burigi na kuwa national park ili tudhibiti wanyama wetu ili kujua idadi ya wanyama na kuwatrack
Nami naamini hivyo Mkuu. Issue nyeti hii Taifa halina ulinzi?Hii inaweza kuwa ni mada nzito sana ya kuanzia mwaka na ambayo kama watu wanafuatilia (na I know they do) watu wetu wa inteligensia (TISS na wa Jeshi) watakuwa wanaunda task force kuelekea pande hizo kabla ya mwisho wa wiki..
Hawa majirani sio wa kuaminika.Unapofanya urafiki na jirani lazime uwe na tahadhali sana hasa ukifanya urafiki na nchi za maziwa makuu kama Rwanda!!! I tell you be careful sana!! They may have longterm plans against you !!! Ni wapole kama huwa lakini wajanja kama nyoka
Utashangaa wengine wanashindwa kulisemea hili kwa kuhofia urafiki na nchi jirani na bado wanajiita wazalendoAsante kwa Taarifa Mtanzania Mzalendo, hii ndio Tafsiri kamili ya uzalendo.
Nawapenda sana watu wenye uwezo mzuri wakufikiri, hongera mkuu.Huyu mtoa uzi anatumia akili tu sio "facts", Kagera kwa lugha ya kihaya kutiririka kwa maji. Akagera maana yake mto mdogo "a small river" kwa watu wa uganda, rwanda na burundi kuna baadhi ya maneno yanaingiliana na watu wa kagera, Simiyu, Shinyanga , hasa kanda ya ziwa kwa ujumla. Lakini sio kweli kwamba Akagera National Park ya Rwanda inaitwa hivyo kwa ujanja ili kupata advantage Mkoa wa Kagera.
Maelezo yangu hapo juu yasitafsiliwe kana kwamba ninapinga kuwa Rwanda hawafungii wanyama waliovuka nyakati zile kwenye uzio " fance". Maana hata mimi nilishakuwa nazo la kutafiti mazingira yanayovutia wanyama kwenda masai mara Kenya na baadae kurudi Tanzania ili wakiisha kuja huku tuwafungie wasirudi Kenya. Nadhani lilikuwa wazo la kijinga au la ubinafsi, kwani kuna madhara gani wote tukipata kutokana na riziki aliyotupa sisi waja wake ( wakenya na watanzania) Subuana?
Wanyarwanda watakuwa wametenda kitendo cha kijinga na hiyo ni kuharibu ecologia ya dunia kwa kuzuia asili kutawala. Kama wanafanya hivyo, sisi tuna faida kubwa moja, kuwa wanyama wetu waliosalia na kwa kuwa wanazaliana basi hawataingia Rwanda maana uzio unazuia pande mbili. Ni hayo tu.
Basi wewe sio Binti Kiziwi, ni binti Msikivu.Nawapenda sana watu wenye uwezo mzuri wakufikiri, hongera mkuu.
Hii inaweza kuwa ni mada nzito sana ya kuanzia mwaka na ambayo kama watu wanafuatilia (na I know they do) watu wetu wa inteligensia (TISS na wa Jeshi) watakuwa wanaunda task force kuelekea pande hizo kabla ya mwisho wa wiki..
mimi ni mmoja wapo mara nyingi nashindwa kutofautiza r na l muhimu nafikiri tuzingatie ujumbe ufike lakini muendelee kutusahisha kwa kuwa uandishi ni taaluma ya watu kama taaluma zingine.Kwa siku za karibuni uandishi umekuwa kero kubwa sana.Kwa bahati mbaya ni watu wazima kabisa wenye matatizo hayo.