Tetesi: Akagera National Park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori ya Burigi na Kimisi na kuwafungia kwenye fensi

Tetesi: Akagera National Park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori ya Burigi na Kimisi na kuwafungia kwenye fensi

Hii ni ishu nzito!
Deep down analysis ianzie kwenye uhusiabo wa Uhamiaji na raia wa mipakani.
Ni vigumu sana kumtaka mtu awe mzalendo ili hali kila operation dhidi ya wahamiaji lazima imwachie maumivu.
 
Akagera national park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori la Burigi, Kimisi ,Rumanyika na Ibanda na kuwafungia kwenye fence- H. Kigwangala umelala

Akagera national park ni mbuga inayounganisha mapori ya Tanzania na Rwanda , Tanzania kuna mapori mengi ambayo badala ya kuyapandisha hadhi tumeyaacha kama game resrve ambayo ni wa pori la Burigi, Kimisi, Rumanyika na Ibanda. Rwanda mbuga yao inayoungana na mapori haya wameifanya national park .

Inalindwa na jeshi la Rwanda, kutoka na vita wanyama wengi walikuwa upande wa Tanzania miaka ya 80 mpaka 90, wilaya ya Biharamulo wanyama walikuwa wanakuja mpaka mjini suala la kuona simba, chui, swala, nyani na kifaru ilikuwa suala la kawaida na tembo lakini kwa sasa wamepotea.

Na hii historia imeanza baada ya Rwanda kupandisha hifadhi ya Akagera na kuifanya nationa park.

1. Wanatumia jina la Akagera kuwahadaa watalii wanaodhani wanakuja mkoa wa Kagera na kiuhalisia mbuga hiyo inapakana na Kagera kwani wanashare wanyama na mapori ya Kagera

2. Mapori ya Kagera yalivamiwa na wanyarwanda kimkakati na kuanza kuchoma moto mapori ya Tanzania na kuwafukuza wanyama kuhamia pori lao la Akagera.

3. Jeshi la jirani lilianza kuteka pori la Burigi, na serikali kupeleka operation ya kusindikiza magari ili hali Rwanda wanafukuza wanyama na kuwapeleka pori lao .

4. Baada ya wanyama wa kila aina toka mapori ya Kagera kujaa pori la Akagera wamezungusha fence ya moto wa umeme kuwazuia wasirudi na wanaoingia kwenye fence hawarudi .

Ushauri wa bure: Tulishakosea zamani tusifufue makaburi, nashauri ipandishwe hadhi pori la burigi na kuwa national park ili tudhibiti wanyama wetu ili kujua idadi ya wanyama na kuwatrack
Kwanini mnasumbuka na failed state? Hivi unajua siku huyo tolu akishindwa kufungua macho patawaka moto huko? Hayo wanyama wote watarudi Bongo.Nchi ambayo haina taasisi na inategemea mtu mmoja ni sawa na nyumba nzuri yenye msingi mbovu anyday itaanguka.
 
Akagera national park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori la Burigi, Kimisi ,Rumanyika na Ibanda na kuwafungia kwenye fence- H. Kigwangala umelala

Akagera national park ni mbuga inayounganisha mapori ya Tanzania na Rwanda , Tanzania kuna mapori mengi ambayo badala ya kuyapandisha hadhi tumeyaacha kama game resrve ambayo ni wa pori la Burigi, Kimisi, Rumanyika na Ibanda. Rwanda mbuga yao inayoungana na mapori haya wameifanya national park .

Inalindwa na jeshi la Rwanda, kutoka na vita wanyama wengi walikuwa upande wa Tanzania miaka ya 80 mpaka 90, wilaya ya Biharamulo wanyama walikuwa wanakuja mpaka mjini suala la kuona simba, chui, swala, nyani na kifaru ilikuwa suala la kawaida na tembo lakini kwa sasa wamepotea.

Na hii historia imeanza baada ya Rwanda kupandisha hifadhi ya Akagera na kuifanya nationa park.

1. Wanatumia jina la Akagera kuwahadaa watalii wanaodhani wanakuja mkoa wa Kagera na kiuhalisia mbuga hiyo inapakana na Kagera kwani wanashare wanyama na mapori ya Kagera

2. Mapori ya Kagera yalivamiwa na wanyarwanda kimkakati na kuanza kuchoma moto mapori ya Tanzania na kuwafukuza wanyama kuhamia pori lao la Akagera.

3. Jeshi la jirani lilianza kuteka pori la Burigi, na serikali kupeleka operation ya kusindikiza magari ili hali Rwanda wanafukuza wanyama na kuwapeleka pori lao .

4. Baada ya wanyama wa kila aina toka mapori ya Kagera kujaa pori la Akagera wamezungusha fence ya moto wa umeme kuwazuia wasirudi na wanaoingia kwenye fence hawarudi .

Ushauri wa bure: Tulishakosea zamani tusifufue makaburi, nashauri ipandishwe hadhi pori la burigi na kuwa national park ili tudhibiti wanyama wetu ili kujua idadi ya wanyama na kuwatrack
Uongo huo
 
Kwanini mnasumbuka na failed state? Hivi unajua siku huyo tolu akishindwa kufungua macho patawaka moto huko? Hayo wanyama wote watarudi Bongo.Nchi ambayo haina taasisi na inategemea mtu mmoja ni sawa na nyumba nzuri yenye msingi mbovu anyday itaanguka.
Hiyo sahau mkuu
 
Hii inaweza kuwa ni mada nzito sana ya kuanzia mwaka na ambayo kama watu wanafuatilia (na I know they do) watu wetu wa inteligensia (TISS na wa Jeshi) watakuwa wanaunda task force kuelekea pande hizo kabla ya mwisho wa wiki..

Tatizo letu tunafikiri uzalendo ni kuunga mkono mambo yote yanayotendwa na serekali.Ukikosoa wewe si mzalendo ukiunga mkono hata jambo la hovyo wewe ni mzalendo.
 
Napendekeza Kigwangala awe mwenyekiti wa soko la samaki Ferry magogoni ndo panamfaa sana, wizara hiyo haiwezi hata robo anapwaya sana yani
 
hahahahahahaha na bado ,washaanza kukaribishwa hadi jikoni, in 20 years watakuwa washatawala Tanzania nzima kutokana na mahaba ya mtu mmoja kwa Paul kagame
 
Huwezi kumfilisi Bill Gates kwa kumuibia Tsh milioni mia. Tz ni tajiri wa rasilimali za wanyama na mbuga za wanyama. Hatuwezi kuathirika kwa udokozi wao wa swalla wawili, watatu.
Kwahiyo tuwaache waendelee 'kudokoa'?
 
Hii inaweza kuwa ni mada nzito sana ya kuanzia mwaka na ambayo kama watu wanafuatilia (na I know they do) watu wetu wa inteligensia (TISS na wa Jeshi) watakuwa wanaunda task force kuelekea pande hizo kabla ya mwisho wa wiki..
Hao watu wenu wa TISS na Jeshi walikuwa wanasubiria habari iletwe Jf ndio waunde task force ?
 
Mnyarwanda ni hatari sana kwa ujangili.Upatikanaji wa silaha ni rahisi kwao mno.Nina imani huko biharamulo serikali ikiamua kuweka amsha2 ya silaha hata vifaru watavikuta maana mtusi kafichama kule.
 
Back
Top Bottom