Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
you tube my foot!
Mke wangu The secretary nshakukataza kunifuata ofisini...ona sasa.
ya nini malumbano ya nini maneno ooh najiweka pembeni naepusha msongamano mola nijaliee haya yasijirudie
I hit it first:becky:
ukijiweka pembeni nakunywa sumu ya panya,shauri lako watoto utalea mwenyewe
Hajambo
Heee we mwanaume au mwananke?
Salam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Hidaya...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
Salam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Hidaya...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
Mkwe we acha baridi imezidi japo foleni inaleta hasira.
Heee we mwanaume au mwananke?
Hajambo
Kwangu katulia tuli