Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heee mwingine tena.
bado niponipo naugulia machungu
Hahaaulimwendea wapi Chocs nanjinjili,mlingotini,kipatimo ,ujiji au makorora? Mwelekeze The secretary akakoleze nitulie
niPM......
Mwanaume tajiri ni wa kumvumilia tu.
hapana Ruttashobolwa Passion Lady mwimbie "bisho ntongo"
Kupitapita kwako kunanipa wazimu,
Kila mara akipita nyumbani kwangu kuelekea dukani,
Mwendo wake na sura yake kweli vinanichanganya,
Hiye hiye hiye,
Nimempenda msichana akikubali tufunge ndoa...
Sherehe kubwa sana nitaifanya nyumbani
Majibu mazuri nikipata,
Hapo nitapokubaliwa...
Source: mbaraka mwinshehe mwaruka -RIP
KOKUTONA na Kipipi jiandaeni 'okuhekura',
Nivea.......you were right.
kaka mambo vipi? nipo hapa bomang'ombe...habari za hapo arusha?
Arushaone naomba namba ya Lady doctor, shem wako Chocs, amu na Zion Daughter ........kuna kineno nataka niwanong'oneze
Sabakheri la"aziz waonaje hali yako,
Awanusuru Mwenyezi hali yangu kama yako,
Shida yangu sijiwezi,
Dawa yangu sura yako,
Na mimi sijitambui,
Naridhia ombi lako,
nakupenda peke yako.