Akasema ......Nimepoteza mpenzi wangu

Akasema ......Nimepoteza mpenzi wangu

Kupitapita kwako kunanipa wazimu,
Kila mara akipita nyumbani kwangu kuelekea dukani,
Mwendo wake na sura yake kweli vinanichanganya,
Hiye hiye hiye,
Nimempenda msichana akikubali tufunge ndoa...
Sherehe kubwa sana nitaifanya nyumbani
Majibu mazuri nikipata,
Hapo nitapokubaliwa...
Source: mbaraka mwinshehe mwaruka -RIP
KOKUTONA na Kipipi jiandaeni 'okuhekura',
Nivea.......you were right.

Teh Teh . . . Iweeeeeeeeeh!!!
 
Sabakheri la"aziz waonaje hali yako,
Awanusuru Mwenyezi hali yangu kama yako,
Shida yangu sijiwezi,
Dawa yangu sura yako,
Na mimi sijitambui,
Naridhia ombi lako,
nakupenda peke yako.

The secretary kamata mwizi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom