hahaah bi shost kwa Bishanga kubali tu kubanana ukishindwa jiweke pembeni kwa Arushaone ndio hana mupenzi humu au Nicas Mtei
Ngoja akuje awapepee
Bishanga, The secretary ana kazi kwelikweli!
Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wangu umeganda kwako na hakuna dalili za kukuacha, wewe ni wangu peke yako..
Hata kama watasema mengi kiasi gani, kwako wewe nitaendelea kuwa mpole, maana nakupenda sana...
Siyo rahisi kuishi bila wewe, maana wewe maishani mwangu ni sawa na maji katika maisha ya binadamu. Mwaaaaa
Ni kweli nakiri ndani ya nafsi yangu kwamba nilikukosea mpenzi wangu, naomba unisamehe na unipe nafasi nyingine katika moyo wako mpenzi wangu.
......
Umeona eeh babe Paloma.. yaani The secretary ameamua kulea mtoto maana akimfuatisha Bishanga mtoto anaweza dhurika..
Kweli havina kazi, ngoja nami niingie kwa gia ya pesa sasa...
shit khaaaa yaani cc bwana ahahahahahahaha
sosoliso mtoto atadhurikaje wakati ndo vitamini zinaongezeka jamani.
Mim namfahamu ila wewe na The secretary mnamjua zaidi