Akasema ......Nimepoteza mpenzi wangu


hahahahaha umetishaa
 
Hilo la kusema yatanishinda ndo unanionea sana
si ushukuru sana tumekuachia hata Arushaone
wakati ulishakosa kabisa kabisa

hahahaaa...... Wakukosa nani? Hebu niangalie juu mpaka chini, sina kasoro yoyote, kama figa ninayo, rangi iliyotulia nywele za kimanga sina kovu wala doa...... Waume zenu kila kukicha wanagongana mlangoni kwa kunifuatilia, nina wachuna ki silencer ndio maana sina maskendo kama wewe...!
Nimemdatisha king mswati kwangu hafurukuti

UPO!!!!!????
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…