Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi na wewe umo kwenye list?
Mzee uliimba nyimbo za hip-hop nikawa sielewi mashairi yako
jaribu kumwimbia Zahra White walau foleni ipungue.
Sabakheri la"aziz waonaje hali yako,
Awanusuru Mwenyezi hali yangu kama yako,
Shida yangu sijiwezi,
Dawa yangu sura yako,
Na mimi sijitambui,
Naridhia ombi lako,
Wengine wachokozi nakupenda peke yako,
Na mimi sijitambui nakupenda peke yako.
Source: shakira
Hilo la kusema yatanishinda ndo unanionea sana
si ushukuru sana tumekuachia hata Arushaone
wakati ulishakosa kabisa kabisa
daaah
ya ndimu au ya pilipili manga
daaaaa huo wimbo naupenda kweli. nami ngoja niutuma kwa my akanana Passion Lady
​na zangu pia mfikishie!!aiseee huu wimbo ni mzuri sana shukrani zimuendee my boss Mamndenyi kwa kukumbusha
Sikuachi hata Kilimanjaro ihamishiwe Tandahimba
hahaah bi shost kwa Bishanga kubali tu kubanana ukishindwa jiweke pembeni kwa Arushaone ndio hana mupenzi humu au Nicas Mtei