Akata tamaa baada ya kukosa kumpata mtoto

Stress is when your wife is pregnant.
Tension is when your girlfriend is pregnant.
And Panic is when both are pregnant.

si kazi ya uumbaji jamani kwani ywf akiwa pregnant ni stress au sijakuelewa vizuri
 
Asubiri ajifungue amwambie, af ajifunze kuwa mvumilivu.
 
watoto ni matunda ya ndoa

Mimi ninavyofahamu ni kwamba ndoa ni darasa la upendo.

Yaani upendo huja kwanza kabla ya mambo mengine yoyote.

Hivi hujaona kuwa watoto huzaliwa hata na watu wasio wanandoa?

Je, hao watoto ni matunda ya nini? Hawastahili kuitwa watoto?
 
Nakubaliana nawe Mkuu, lakini kwa ndoa zetu za kiafrika inapotokea mke na mume hawakupata baraka hizo za Muumba wetu kupata watoto, basi wazazi, ndugu, jamaa na marafiki huanza minong'ono ya pembeni ambayo baadaye inakuwa si minong'ono tena na kuweza kuwaathiri wanandoa hata kuharibu ndoa yao.

Mkuu binafsi naamini kuwa na watoto si jambo la ulazima isipokuwa ni baraka tu toka kwa Muumba...
 
Ndivyo inavyojulikana.....tena wanakuuliza vipi ndoa bado haijajibu.....

Mzima lakini jirani.....

Wanajua hivyo ni kwa vile wameamua kuamini hivyo...

Nijuavyo mimi ni kwamba sheria ya kwanza ya ndoa ni upendo...

Na kama ujuavyo sifa za upendo kuwa huwa haujivuni, huangalii ubaya n.k
 
......kha?!....
Amwambie nini sasa mkewe?!

Alipoenda "kuchepuka" alimwambia? Hapana,....then mwache apige kimya huku akisubiria matokeo.

BTW, wenye hizo mimba wamejikalia kimya, yeye kihere here cha nini sasa?!





#MosKwito !
 
Mkuu naomba unifafanulie huo ulazima unatokea wapi? Yaani ni nini kiini cha huo ulazima...

Ni mazoea tu na mind set tuliyojiwekea wenyewe waafrika mkuu........

Children are the reward of life. ~ African proverb
 
bila kujua mungu alikupa mtihani alitaka apime imani yako je utaendelea kumuamini?yaan ww miaka mi4 unalalama umechelewa kupata mtoto?ss umekengeuka na mungu kakumaliza kakuonesha kuwa mkeo sio tasa anazaa sasa kubali kuvunja ndoa kwa upumbavu wako,jipe moyo ila umeharibu dira yako ya uaminifu kwa waifu wako kubali kuchapiwa na ww ,
 
Pesa sio tatizo kwamba eti atakula gunia Mia hapana Sema nahitaji maelezo ya kina afu mambo hayo pia yanahitaji hekima ya mwanamke sio kila mtu anaweza kuishi na mtoto Wa nje!
 

minong'ono yenyewe "mwanamke gani huyu anatujazia choo tu" ukute jamaa hasimamii shoo vizuri
 
huyo naye alikuwa na haraka mno miaka 4 tu anakata tamaa? asubiri wajifungue afu baadae awe wazi tu kwa mkewe nina rafiki yangu ameoa since 2005 hawajapata mtoto wanajipa moyo watapata tu

Wakati mwingine inabidi ufanye hivyo hasa kama mkeo anatumia tatizo hilo kuvunjia heshima, yaani ni msumbufu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…