Akatwa kichwa kwa kushiriki mapenzi ya jinsi moja

Akatwa kichwa kwa kushiriki mapenzi ya jinsi moja

Zainab j

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2018
Posts
1,817
Reaction score
2,362
Mpalestina anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja akatwa kichwa eneo la West Bank

Haijafahamika ni vipi Ahmad Abu Marhia alifika katika mji wa wa nyumbani kwa wa Hebron
Polisi wa Palestina wamemkamata mshukiwa wa mauaji ya mwanaume mwenye umri wa miaka 25-baada ya mwili wake kupatikana ukiwa umekatwa kichwa katika eneo lililovamiwa la Ukingo wa Magharibi.

Makundi ya watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja -LGBTQ nchini Israel, ambako Ahmad Abu Marhia alikuwa meomba ukimbizi, yanasema alikuwa amepokea vitisho kwasababu ya kuwa mtu anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja.

Video ya tukio la mauaji hayo yaliyofanyika Hebron ilisambaa sana kwenye mitandao ya kijamii na kuibua tetesi kuhusu sababu ya mauaji yake, lakini polisi haijathibitisha lolote.

Haijawa wazi kwa sasa ni kwa jinsi gani Bw Abu Marhia aliishia kwenda hadi katika mji huo ambako alikuwa ametoroka awali.

Makundi ya LGBTQ yanasema kuwa alikuwa ameishi miaka miwili nchini Israeli akisubiri kuomba ukimbizi akidai kuwa alitoroka Ukingo wa Magharibi baada ya kupokea vitisho kutoka kwa jamii yake.

Vyombo vya habari vya Israeli vimewanukuu marafiki zake wakisema alitekwa na kupelekwa Ukingo wa Magharibi.

Source: BBC Swahili

TUNASEMAGA HUMU ISRAEL ndo kwenye MAKAO MAKUU ya Ushoga, waisraeli wa kwa mtogole huwa wanapinga, na mashamubilizi yao yanaishia kuwatukana Waislamu walivyo wajinga
 
Wauaji wakamatwe na kupewa adhabu kali,

Kila Binaadam ana Haki ya kuishi, kivipi mwengine akatishe Maisha ya mwenzie kisa tu akifanyacho yeye hakitaki, huo ni ukosefu wa akili na ustaarabu.
 
Kinyeo chake wewe unapatwa na hasira hadi kuua huu siukosefu wa akili.

Sipendi mashoga wala kufurahia vitendo vyao ila kuwauwa mashoga sio kitusahihi..mana bina damu wote tu wadhambi hakuna mkamilifu huyo aliye muua ukiye na yeye ni mwizi au mbakaji.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mungu aliteketeza sodoma na Gomora ili ushoga uishe
 
TUNASEMAGA HUMU ISRAEL ndo kwenye MAKAO MAKUU ya Ushoga, waisraeli wa kwa mtogole huwa wanapinga, na mashamubilizi yao yanaishia kuwatukana Waislamu walivyo wajinga
Dini ya umwagaji damu imekuongoza kutamka haya.

Mtu ambaye ameamua kuishi maisha ya ufedhuli kama huo aachiwe mambo yake mwenyewe maana atavuna anachopanda na hukumu yake ni automatic.

Kama Allah alitaka auawe alitakiwa amuue mwenyewe na sio kutumia mtu.
 
Dini ya umwagaji damu imekuongoza kutamka haya.

Mtu ambaye ameamua kuishi maisha ya ufedhuli kama huo aachiwe mambo yake mwenyewe maana atavuna anachopanda na hukumu yake ni automatic.

Kama Allah alitaka auawe alitakiwa amuue mwenyewe na sio kutumia mtu.
basi sawa ngojea tuwaache mffirane kwa raha zenu,mmeeleweka vizuri, hakuna wakuwazuia labda mungu wenu yesu ashuke
 
Wauaji wakamatwe na kupewa adhabu kali,

Kila Binaadam ana Haki ya kuishi, kivipi mwengine akatishe Maisha ya mwenzie kisa tu akifanyacho yeye hakitaki, huo ni ukosefu wa akili na ustaarabu.
Sawa firranane haki yenu hakuna wakuwazuia,kumbe ndiomaa bwana padri Chuo kawatatua marinda wale kondoo wake arusha
 
Back
Top Bottom