Akatwa kichwa kwa kushiriki mapenzi ya jinsi moja

Akatwa kichwa kwa kushiriki mapenzi ya jinsi moja

Wauaji wakamatwe na kupewa adhabu kali,

Kila Binaadam ana Haki ya kuishi, kivipi mwengine akatishe Maisha ya mwenzie kisa tu akifanyacho yeye hakitaki, huo ni ukosefu wa akili na ustaarabu.
Unatetea ushoga,una furahia jiansia me akifanya/kufanyiwa vitendo/kitendo hiko,ingelikuwa nduguyo afanya haya unge furahia,bora auawe tu,ila hapo kuna hao wawafanyiao ilipaswa nao wakamatwe na wauawe
 
Dini ya umwagaji damu imekuongoza kutamka haya.

Mtu ambaye ameamua kuishi maisha ya ufedhuli kama huo aachiwe mambo yake mwenyewe maana atavuna anachopanda na hukumu yake ni automatic.

Kama Allah alitaka auawe alitakiwa amuue mwenyewe na sio kutumia mtu.
Siyo kweli!
Haya mambo ya kuuawa watu hayajaanza leo hata enzi za mababu zetu adhabu hii ilitekelezwa.
Mtu anayefanya vitendo vichafu lazima aadabishwe ili iwe funzo na kwawengine.
 
Basi na wewe unaona umetoa point ya maana kabisa,
Tukiwaambia Akili mmebakiza za kupigia punyeto tu mnakasirika,

Shoga anaua?? Shoga ana madhara yapi kwenye jamii yake? Yan Mtaa ukiwa na Shoga nyie mnakua hamdindishi kwa wake zenu??

Haya huyo Shoga anajifanya mwenyewe?? Si ndio nyie mnaowaharibu watoto halafu baadae mnajifanya kuchukizwa,

Hovyoooooooo
Wewe bibi wewe hujui madhara ya ushoga kwenye jamii!
Ulisoma Shule gani wewe.
Hivi watoto wakiwawanaona unahisi watajifunza nini kupitia hao jamaa?
 
Basi na wewe unaona umetoa point ya maana kabisa,
Tukiwaambia Akili mmebakiza za kupigia punyeto tu mnakasirika,

Shoga anaua?? Shoga ana madhara yapi kwenye jamii yake? Yan Mtaa ukiwa na Shoga nyie mnakua hamdindishi kwa wake zenu??

Haya huyo Shoga anajifanya mwenyewe?? Si ndio nyie mnaowaharibu watoto halafu baadae mnajifanya kuchukizwa,

Hovyoooooooo
Wewe ms#$#n#$&e usitetee uchoko.
 
Wewe bibi wewe hujui madhara ya ushoga kwenye jamii!
Ulisoma Shule gani wewe.
Hivi watoto wakiwawanaona unahisi watajifunza nini kupitia hao jamaa?
Kwa hiyo ni Bora umfundishe Mtoto wako kuua yaani upo radhi utengeneze kizazi cha wauaji,

Wewe uliyesoma shule hebu tupe madhara ya Ushoga na utuambie ni shule gani hiyo ilikua inawafundisha ushoga hadi mkaambiwa faida na hasara zake
 
Dini ya umwagaji damu imekuongoza kutamka haya.

Mtu ambaye ameamua kuishi maisha ya ufedhuli kama huo aachiwe mambo yake mwenyewe maana atavuna anachopanda na hukumu yake ni automatic.

Kama Allah alitaka auawe alitakiwa amuue mwenyewe na sio kutumia mtu.
Kwakua wakristo mumeruhusu ndoa za jinsia moja kufungwa kanisani, munataka mpaka nawengine wawaige?

Nyinyi pelekeaneni moto tu huko makanisani, sisi dini yetu hairuhusu hivyo.
 
Mambo ya ushoga hayausiani na dini.hayo ni mambo ya mtu binafsi.naona wewe unataka kujifanya una dini safi wakati shida ni zile zile kila mahali.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuna dhahebu lolote la kiislam hapa Duniani linalo kubaliana/ kuruhusu mapenzi ya jinsia moja, lakini lipo dhehebu la kikrsto linalo ruhusu sio mapenzi tu mpaka ndoa za jinsia moja.

Kuna kila dalili zinazo onyesha kua Roma nao wako njiani kuruhusu ndoa za jinsia moja.
 
Kwa hiyo kutoa uhai wa mwenzio sio laana?

Maandiko ya Dini yako yamekwambiaje kuhusu kuua?

Wewe kweli ni Chizi maarifa mmeulizwa Shoga ameleta maafa gani kwenye jamii? Wewe ukiwa na jirani shoga mkeo unashindwa kumkaza?
Wakala wewe kwenye haya mambo,

Sikiliza wewe kiumbe binadam lazima tuishi kwenye misingi yenye ustaarabu na lazima tuonyeshe ustaarabu kwa viumbe wengine!

Sijawahi ona mnyama(hayawani) akiwa anafanya hili Jambo vipi kuhusu binadam mwenye utashi na akili afanye hivo??,

Tabia mbovu inashida moja ikishahamia kwako nisharti uhamishie kwa mwingine kwann!??

Binadam tuliowengi tunahulka moja hivi huwa tunapenda tukipatwa na baya basi tunaona vizuri lisiishie kwetu liende kwa mtu mwingine pia nae apatwe nalo.

Mazuri tunayawekea fensi yawe yakwetu tu.

Wewe endelea kushikia bendera hili ila ipo siku litakukuta, we unajua anaetetea hili ana dhima gan?? Au kwakuwa na ujinga wako umejikuta ukiwa huko ndo unaona sawa kwa kila mtu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakala wewe kwenye haya mambo,

Sikiliza wewe kiumbe binadam lazima tuishi kwenye misingi yenye ustaarabu na lazima tuonyeshe ustaarabu kwa viumbe wengine!

Sijawahi ona mnyama(hayawani) akiwa anafanya hili Jambo vipi kuhusu binadam mwenye utashi na akili afanye hivo??,

Tabia mbovu inashida moja ikishahamia kwako nisharti uhamishie kwa mwingine kwann!??

Binadam tuliowengi tunahulka moja hivi huwa tunapenda tukipatwa na baya basi tunaona vizuri lisiishie kwetu liende kwa mtu mwingine pia nae apatwe nalo.

Mazuri tunayawekea fensi yawe yakwetu tu.

Wewe endelea kushikia bendera hili ila ipo siku litakukuta, we unajua anaetetea hili ana dhima gan?? Au kwakuwa na ujinga wako umejikuta ukiwa huko ndo unaona sawa kwa kila mtu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuleta ngonjera nyingi jibu hayo maswali,

1. Dini yako wewe inakufundisha kutoa Uhai wa wengine?


2. Ustaarabu wako upo kwenye kuua???


3. Shoga analeta Madhara gani kwenye jamii??

Twende kazi acha kuzunguka Mbuyu
 
Acha kuleta ngonjera nyingi jibu hayo maswali,

1. Dini yako wewe inakufundisha kutoa Uhai wa wengine?


2. Ustaarabu wako upo kwenye kuua???


3. Shoga analeta Madhara gani kwenye jamii??

Twende kazi acha kuzunguka Mbuyu
Haya maswali yako ndo yanakupa uhalali wa wewe kuwa namtandao wa ushoga na kusawishi wengine kuingia humo!?

Dini yangu imeweka wazi kabisa Ni mazingira gani mtu akichupa mipaka yafaa kuuliwa, lakini pia Ni ustaarabu endapo itakuwa ni njia yakuondoa kibaya chenye kuleta madhara kwa vizazi..

Mfano wa madhara Ni haya tunayoyaona kwako, msipoondolewa mapema unafikir dunia ikiwa na watu wa mfano wako itakuwaje??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dini ya umwagaji damu imekuongoza kutamka haya.

Mtu ambaye ameamua kuishi maisha ya ufedhuli kama huo aachiwe mambo yake mwenyewe maana atavuna anachopanda na hukumu yake ni automatic.

Kama Allah alitaka auawe alitakiwa amuue mwenyewe na sio kutumia mtu.
Vipi da mgen upo?
Allah amekufanya nini tena!!!!!
 
Haya maswali yako ndo yanakupa uhalali wa wewe kuwa namtandao wa ushoga na kusawishi wengine kuingia humo!?

Dini yangu imeweka wazi kabisa Ni mazingira gani mtu akichupa mipaka yafaa kuuliwa, lakini pia Ni ustaarabu endapo itakuwa ni njia yakuondoa kibaya chenye kuleta madhara kwa vizazi..

Mfano wa madhara Ni haya tunayoyaona kwako, msipoondolewa mapema unafikir dunia ikiwa na watu wa mfano wako itakuwaje??


Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu weka hayo maandiko yanayosema Mtu akikosea basi anapaswa kuuliwa,

Halafu sema na wewe unapata uhalali gani wa kumuhukumu mwengine, yaani wewe kwa utakatifu upi ulonao.
 
Dini ya umwagaji damu imekuongoza kutamka haya.

Mtu ambaye ameamua kuishi maisha ya ufedhuli kama huo aachiwe mambo yake mwenyewe maana atavuna anachopanda na hukumu yake ni automatic.

Kama Allah alitaka auawe alitakiwa amuue mwenyewe na sio kutumia mtu.
Hata sadaka na fungu la kumi hatutakiwi kutoa,mungu gani Hana hela kufanya mambo yake yaende!!?..na kwa tumuhubiri badala ya yeye kuhubiri mwenyewe tumsikie mawinguni!!?..siungi mkono hayo mauaji lakini
 
Back
Top Bottom