Akatwa uume akiwa gesti Arusha

Yote hayo chanzo utapeli, watu mnakubaliana malipo vizur ila baada ya utamu unaanza kuleta ujuaji. Sasa siyo wote wa kuchezea
 
Aa
Yote hayo chanzo utapeli, watu mnakubaliana malipo vizur ila baada ya utamu unaanza kuleta ujuaji. Sasa siyo wote wa kuchezea
Aaaaaaa Sana tu.hiyo ndo dawa.yaani umshughulishe mtu kihasara
 
Ukiwalipa fresh hawana noma
 

Ashukuru mungu kama nyuzi zimekubali na mashine itarudi kwenye ubora wake maana iyo ndo ilikuwa hatari!!!
 
Ehe sababu ya kumkata uume mwanaume ni nini?

Ova
 
Hapo lazima kulikuwa na visa tu, yani mwanamke aende kulala na bwana ake guest huku kabeba kisu...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…