Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Yote hayo chanzo utapeli, watu mnakubaliana malipo vizur ila baada ya utamu unaanza kuleta ujuaji. Sasa siyo wote wa kuchezea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe,yaani nacheka Kama mazuri.Je vipi Hali ya kudindisha+mshono.Yaani Haki tena ni balaaa uwiiiii🤣🤣🤣🤣🤣Duh hivi mtu ukikatwa uume unakuwa na haki ya kuishi?
Aaaaaaa Sana tu.hiyo ndo dawa.yaani umshughulishe mtu kihasaraYote hayo chanzo utapeli, watu mnakubaliana malipo vizur ila baada ya utamu unaanza kuleta ujuaji. Sasa siyo wote wa kuchezea
Mwanamke wa kimeru kwenye ubora wako,hivi siku hizi mmeacha kukata lami[emoji2]Eh Incase Sasa ulitaka umchezee nani hapa mjini
Ukiwalipa fresh hawana nomaMakahaba wa Arusha ni washenzi mno. Halafu wako rafu rafu sana.. wanavuta sigara hadharani na bangi. Kimsingi ukichukua kahaba Arusha mlipe chake piga bao lako moja kisha ondoka msijuane. Hawana utu. Uzuri wa makahaba wa Chuga ni wagumu mno kutotumia kinga.. ni watumiaji wazuri wa kinga na wanajali sana afya zao kwa upande wa HIV na magonjwa mengine yatokanayo na ngono.
Umerudi?,wewe si nasikia ulipigwa life ban[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie ni Mmasai ILa ukiishi huku Arusha lazima uwe mbabe LASIVYOO Cha basiMwanamke wa kimeru kwenye ubora wako,hivi siku hizi mmeacha kukata lami[emoji2]
Hii ni biashara Haram so waliuzianaAlMlipwe kwani mmekata lesseni huko TRA!!? Mbona mkila nauli zetu bila kuibuka ghetto hatuwakati hivyo vichuchu vyenu!!?
ARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.
Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
Ndo km hivi unanionaa hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umerudi?,wewe si nasikia ulipigwa life ban[emoji2][emoji2][emoji2]
Mkuu usiseme hivyo.. dunia hii ina mengi sana huwezi jua...Na kamwe siwezi kukutana nao.
Angekuua wewe usiye na uwezo. Mimi ningemuua yeye..