Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimtandika nini?Nilikutana na mmoja Apo chuga,anakuja analeta pigo za kihuni,anataka nikamtembezee,uku ananipulizia Moshi wa bangi,nikaona dharau kubwa ,kanichukuliaje,Kama kapinda Mimi nimenyongorota,nikaona uyu leo hatonisahau,nimvute sehemu hakuna wenzake au watu,nikamwambia sawa twende nikamle,nikampeleka chocho moja Kama unaenda Babylon,nikambananisha kwa nguvu kwenye Kona,Ile bangi nikamzimishia utosini kwake,mikono nikaibana asiweze vuta zana zake kama wembe,nilimtandika haswa,mpaka nikahisi nitamuua,nikakafunga mdomo,na miguu,nikasepa
Kwakweli wasiona akili ni wengi na wameridhika juu ya hiloMITHALI 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."
Sio icho ulichowaza hahahUlimtandika nini?
😅😅😅😅Et makalio tunacheka kama mazuri Mungu amponye uyo jamaaARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.
Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
Eh Incase Sasa ulitaka umchezee nani hapa mjiniNdiyo mtembee na visu! Wanawake wa Arusha punguzeni usela.
Kwakweli wasiona akili ni wengi na wameridhika juu ya hilo
Sasa wananasuliwa kivipiNa wanaangamia
Kati ya Malaya wakorofi WA Arusha ni balaa ,atakuwa alichukua Malaya WA kaloleni uyo,sema mademu WA kaskazini ni balaa sanaARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.
Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
Atakuwa Regina Kistuli wa Mianzini huyo...Muuza utamu ReginaARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.
Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
Tatizo la Arusha wame adapt Tania za wakenya kila kitu ,nimeishi nao sio poa kuanzia wanawake Hadi wanaume sio poa,ustaarabu zero,usiombe uoe Mmeru,Huko Arusha mna shida gani jamani? Kwani Arusha iko karibu na Mara kwamba mmekopi kwa Wakurya?
Kwa hiyo tuzini na wanaya ili tuendelee kiwa na akili🤔MITHALI 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."