soUtaelewa tu.... we si mshabiki wake.... mchek kwemye no. Yake utampata;
Mtafute muambiane..... yuko wapi... sio unatuambia sisi.....
I pray she's seifI pray she's seif kwakweli account waibebe tu atafungua nyingine ila kwa alipo sasa ivi bado ni asubuh
We unakaa nae mpaka useme hajulikani aliko??Account ya mwanaharakati mange kimambi imepotea tena jioni hii na imechukuliwa na watu wasiojulikanaaa
Account inapost matangazo ya fiesta na watu wanaotafutwa jambo ambalo sio la kawaida
Na kingine ni kuwa mange toka asubuhi leo hapatkana watssap
Na kinachotia utata ni kuwa mange hajulikani alipo mpaka sasa
Naona giza mbele ya mange
Yaani hata sielew vile yaani
Kwa hiyo Ubuyu ndio umesimama au.....