Akaunti ya Facebook ya Alfred Mutua, Waziri wa Ajira Kenya imejaa post za nafasi za kazi kwa Wakenya nje. Pitia ya Riziwani ujionee

Akaunti ya Facebook ya Alfred Mutua, Waziri wa Ajira Kenya imejaa post za nafasi za kazi kwa Wakenya nje. Pitia ya Riziwani ujionee

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Hii nchi tunakwama pakubwa mno, tunakwama sana kama Taifa.
Screenshot_20241218_212611_com.facebook.katana.jpg

Alfred Mutua acclunt yake, angakia tu profile photo.

Screenshot_20241218_212547_com.facebook.katana.jpg

Account hio ya Riziwani Kikwete angalia Profile Photo yake, ina zungumza yenyewe.


Alfred Mutua Waziri wa maswala ya ajira wa Kenya kwenye account yake kumejaa matangazo ya nafasi za kazi kwa vijana kama vile za Ujenzi, uendeshaji Bodaboda na kadhalika nje ya nchi hasa Mataifa ya Kiarabu.
Screenshot_20241218_212258_com.facebook.katana.jpg


Namuona Waziri mwenyewe ndio anawapambania pasport na Visa kabisa vijana wanao elekea huko.
Screenshot_20241218_212625_com.facebook.katana.jpg


Njoo sasa kwenye account ya Riziwani Kikwete Waziri wa Maswala ya ajira Tanzania. account yake hakuna mahala hata post ya kuzungumzia ajira achilia mbali kiwatafutia vijana furusa iwe ni ndani au nje ya nchi.
Screenshot_20241218_212534_com.facebook.katana.jpg


Account imejaa post za uchawa mwanzo mwisho.
Screenshot_20241218_212651_com.facebook.katana.jpg


AJira za kupeana hizi, tunakwama sana kama nchi na Mungu atufungue tuone tunavyo kwama kama Taifa.


Huwezi msikia Waziri ana adress swala la tatizo la ajira kwa vijana na wala hana Idea ni kitu gani kifanyike.
 
Ridhiwan hata akili hana, anatembelea mgongo wa babake. Kuna mdosi mmoja anadai Ridhiwan alipokuwa UDSM alikuwa muda wote anawaza ngono tu.

Yuko pale kwa sababu ya jina Kikwete,Waziri wa Ajira ila muulize hizo ajira ana zitafuta vipi ataanza kuelezea mikopo ya Asilimia 10 kwenye Halimashauri zeinde kwa vijana wajiajiri. Ujinga mtupu.
 
Wakenya wamechangamka kutuliko sisi, sisi tunasubiri kuzamia Meli na kuishia kutoswa Baharini na kuwa chakula cha Samaki.
Sio kuzamia tu, angalia Waziri wao wanavyo pigana kupata kazi nje, kuna nafasi za kazi hadi Ujerumani wamepewa Wakenya, sasa njoi Tanzania, waziri hakuna anachi jua zaidi ya Uchawa.
 
Back
Top Bottom