Akaunti ya Facebook ya Alfred Mutua, Waziri wa Ajira Kenya imejaa post za nafasi za kazi kwa Wakenya nje. Pitia ya Riziwani ujionee

Akaunti ya Facebook ya Alfred Mutua, Waziri wa Ajira Kenya imejaa post za nafasi za kazi kwa Wakenya nje. Pitia ya Riziwani ujionee

Kuna mabalozi karibu Kila Nchi zenye fursa lakini huwezi Kuta balozi anafanya mpango raia wa Tanzania wapate Kazi huko ili baadae waje Tanzania kuwekeza au na ujuzi ndicho wanachofanya kenya baada ya miaka 10 vile vya nje watavileta ndani kuendeleza ujuzi.. balozi polepole wa cuba alianza kuleta fursa zilizopo CUBA wakaanza mfanyia figisu watanzania mmelaaniwa kabisa .
 
Sio kuzamia tu, angalia Waziri wao wanavyo pigana kupata kazi nje, kuna nafasi za kazi hadi Ujerumani wamepewa Wakenya, sasa njoi Tanzania, waziri hakuna anachi jua zaidi ya Uchawa.
Hao GenZ wa Kenya waliandamana na madai yao moja wapo lilikuwa ni ukosefu wa Ajira, sasa hapa Bongo hawa Vijana hawataki hata kuandamana na kushinikiza Serikali wengi wanaandamana kwa ajilli ya ushindi wa Simba/Yanga na mambo mengine ya kipuuzi.
 
Screenshot_20241218-221552.png
 
Unamuonea Bure CCM yetu Bado changa ukilinganisha na Kenya wametuzidi miaka 1
Hii nchi tunakwama pakubwa mno, tunakwama sana kama Taifa.
View attachment 3179810
Alfred Mutua acclunt yake, angakia tu profile photo.

View attachment 3179811
Account hio ya Riziwani Kikwete angalia Profile Photo yake, ina zungumza yenyewe.


Alfred Mutua Waziri wa maswala ya ajira wa Kenya kwenye account yake kumejaa matangazo ya nafasi za kazi kwa vijana kama vile za Ujenzi, uendeshaji Bodaboda na kadhalika nje ya nchi hasa Mataifa ya Kiarabu.
View attachment 3179814

Namuona Waziri mwenyewe ndio anawapambania pasport na Visa kabisa vijana wanao elekea huko.
View attachment 3179815

Njoo sasa kwenye account ya Riziwani Kikwete Waziri wa Maswala ya ajira Tanzania. account yake hakuna mahala hata post ya kuzungumzia ajira achilia mbali kiwatafutia vijana furusa iwe ni ndani au nje ya nchi.
View attachment 3179816

Account imejaa post za uchawa mwanzo mwisho.
View attachment 3179818

AJira za kupeana hizi, tunakwama sana kama nchi na Mungu atufungue tuone tunavyo kwama kama Taifa.


Huwezi msikia Waziri ana adress swala la tatizo la ajira kwa vijana na wala hana Idea ni kitu gani kifanyike.
Wametuzidi au wametuacha kwa miaka 17 so Na pia ELIMU ya hawo jamaa Iko mbali ss viongoz wetu Bado na wenye ELIMU ni yakusomea private unavujishiwa mitihani so shida tupu
 
Back
Top Bottom