Akaunti ya Facebook ya Alfred Mutua, Waziri wa Ajira Kenya imejaa post za nafasi za kazi kwa Wakenya nje. Pitia ya Riziwani ujionee

Kuna mabalozi karibu Kila Nchi zenye fursa lakini huwezi Kuta balozi anafanya mpango raia wa Tanzania wapate Kazi huko ili baadae waje Tanzania kuwekeza au na ujuzi ndicho wanachofanya kenya baada ya miaka 10 vile vya nje watavileta ndani kuendeleza ujuzi.. balozi polepole wa cuba alianza kuleta fursa zilizopo CUBA wakaanza mfanyia figisu watanzania mmelaaniwa kabisa .
 
Sio kuzamia tu, angalia Waziri wao wanavyo pigana kupata kazi nje, kuna nafasi za kazi hadi Ujerumani wamepewa Wakenya, sasa njoi Tanzania, waziri hakuna anachi jua zaidi ya Uchawa.
Hao GenZ wa Kenya waliandamana na madai yao moja wapo lilikuwa ni ukosefu wa Ajira, sasa hapa Bongo hawa Vijana hawataki hata kuandamana na kushinikiza Serikali wengi wanaandamana kwa ajilli ya ushindi wa Simba/Yanga na mambo mengine ya kipuuzi.
 
Unamuonea Bure CCM yetu Bado changa ukilinganisha na Kenya wametuzidi miaka 1
Wametuzidi au wametuacha kwa miaka 17 so Na pia ELIMU ya hawo jamaa Iko mbali ss viongoz wetu Bado na wenye ELIMU ni yakusomea private unavujishiwa mitihani so shida tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…