Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Kijana una miaka mingapi? Naona unajenga hoja kama za vijana wa mtaani.Nyie mnajifananisha na wachina ambao wamewazidi akili na uchumi
Nyie jifananisheni na Burundi , Kenya n
N.k nchi za dunia ya
Watanzania wapo Poland na KINGEREZA hawajui Wanapiga kazi, wanangu wengine walikua Ukraine(kabla ya vita) na English hawajui. Ulaya ukilitoa nchi chache zinazo zungumza KINGEREZA nchi zilizo Baki hawajui English, English yao imejaa ubabaifu kama bongo tu. Ulaya kama unaenda Kwa kazi za nguvu sio lazima uwe na KINGEREZA kiingii cha kuombea maji tu kinatosha.Wakenya ni rahisi kuajiriwa sehemu nyingi duniani kwasababu ya ENGLISH.
Kwa kiswahili chetu labda kazi uende Burundi
N wajinga humu wanatetea ujingaInahuzunisha sana na hii ndio bora kiongozi na sio kiongozi bora.
Ndio mitaji yao hioHuku chawa akitoa ushuhuda kupewa pikipiki imeandikwa SSH
Ni wale CCM top, hawa chawa watoto wao wako humu humu BongoCCM wanasomesha watoto wao nje
Kinacho takiwa Tanzania ni ubunifu wa kumsifia Mama basi, hivyo vingine havina tija. MAma mwenyewe anataka watu wanao msifiaUbunifu unaishia kwenye kumsifia maza, baada ya hapo utatenguliwa haraka sn.
Viongozi wanapaswa wawe mfano na waoneshe kwa vitendo juhudi zao kama huyo mkenya. Wengi humu huwa tunamsifu sana Dkt. Gwajima D kwa sababu ya response yake hadi mitandaoni ambayo inasaidia sana kuwafikia wananchi na kusikiliza na kutatua changamoto zao.N wajinga humu wanatetea ujinga
Ni masikitiko makubwa sana. Mawaziri wa Bongoland wanachojivunia ni uchawa na kujikomba kwa Raisi.View attachment 3179826
Tunakwama sana
Tutajifunza hukohukoWaarabu wapo well of na wanajua lugha mbalimbali ikiwemo kiarabu Chao , unataka kuwalinganisha na sisiemu?
Sisi ndiyo wanataka tusome hizi shule zao za kijingaYes mkuu na watoto wao wanaajiriwa nje kirahis
JInga sn hawa watuNdio mitaji yao hio
Kabla hatujamlaumu Riz1, je wewe mwenyewe unayo angalau agency ya kutoa vijana wasio na kazi sehemu moja kwenda nyingine hata ndani ya TZ kwa kazi kama vile shamba boy, housemaids, kuuza maduka, bars n.k?! Nimekuuliza kwa sababu kazi nyingi za aina hiyo Kenya sio kwamba zinatafutwa na serikali bali na agencies na ndo maana kuna Wakenya wengi sana Arabuni kabla ya huyo Mutua!Bahamas wanaenda fanya kazi, sisi tuendelee na mijadala ya Mbowe na Lisu kutwa nzima humu, tunakwa mno
Mswahili wa Unguja unadhani anataka nini zaidi ya hapo?Kinacho takiwa Tanzania ni ubunifu wa kumsifia Mama basi, hivyo vingine havina tija. MAma mwenyewe anataka watu wanao msifia
Chawa atatoa wapi hela ya kusomesha? mtu na akili zako unapewa bodaboda unaona umetusua kimaishaNi wale CCM top, hawa chawa watoto wao wako humu humu Bongo
Kwani sisi hatuwezi kuwa na Agencies?x
Kabla hatujamlaumu Riz1, je wewe mwenyewe unayo angalau agency ya kutoa vijana wasio na kazi sehemu moja kwenda nyingine hata ndani ya TZ kwa kazi kama vile shamba boy, housemaids, kuuza maduka, bars n.k?! Nimekuuliza kwa sababu kazi nyingi za aina hiyo Kenya sio kwamba zinatafutwa na serikali bali na agencies na ndo maana kuna Wakenya wengi sana Arabuni kabla ya huyo Mutua!
Wakate viuno kumsubiri maza atoe bodabodaHivi watanzania wanaomaliza vyuo vikuu vyetu hivi vya kata wakaajiliwe wapi Duniani?