msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,888
mi mshamba hata cjui.... sasa we kwa akili yako wakishaelewa watamuona wa maana... ???Hivi wewe mpaka leo bado hujui kama kuna translator kwenye internet?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi mshamba hata cjui.... sasa we kwa akili yako wakishaelewa watamuona wa maana... ???Hivi wewe mpaka leo bado hujui kama kuna translator kwenye internet?
ile simu aliirudisha kwenye maduka ya iphone akabadilisha na kuchukua nyingine!Alikuwa na followers milion karibia mbili,ni pigo sana kwake,tulimpenda ila Iphone 8 imempenda zaidi.Wale wa hide my name mjiandae.Astagallafullah.
TIME WILL TELL,PICHA NDIO LIMEANZA !!Anajifanya ana akili, mbinu na ujanja wakati kumbe ni mweupe tu mbele ya wanaojua majukumu / kazi zao walizozibobea kisawasawa.
Yani anakera anamuandama mtoto wa mwanamke mwenzie kama kamlia chake!Then huyu dada huwa nampenda sana lakini tabia yake ya kuingilia maisha ya Dai huwa ananikera sana
Hapa kama wame-itwaa basi watapata watu wengi wanaomtumiga ubuyu na matango PORI. Maana wakati mwingine wajiuliza haya anayapata wapi hasa?Tatizo hapa ni hili. Atafungua ingine na within a daya itakuwa na wafuasi wengi zaidi.Na pengine sasa ata hire experts wa kumshauri, na itakuwa ngumu zaidi . mkiendelea fanya sana atareport instagram kuwa mnafuta accounts za watu.Wataanza ban watu wa serikali taratibu.Mishowe watabaki wengine waki enjoya issue za mange bila break.
Kaifunga mwenyewe!Amanii eh wakuu account ya mange kimambi haipo tena insta... Ishara zilianza tokea juzi watu walivoanza kusema huyu sio mange baada ya vitu vya ajabu kutokea kwenye ile account hatimae na mchana huu account yake haipo tena instagram sijui dada wa watu atakuwa kapatwa na nini, uthibitisho huu chini
View attachment 610509
😀Sikuwahi kukuweka kwenye orodha ya wachawi hapa JF lakini leo umethibitisha umecolifie.
Kwa taarifa yako kutoka anapoishi Mange na ofisi za Instagram zilipo ni kama kutoka Mwenge kwenda Posta na issue kama hizi mamtoni ni kama wewe unavyokwenda kwenye tigo shop kuripoti matatizo ya simu yako.
Hili ukae ukilijuwa vizuri kabisa na ujiandae kisaikolojia maana punde atakaporudi hewani kama una mimba changa isije ikapuruchuka kwa ugonjwa wa Mangephobia.
she's just chilling out kuwarusha watu roho. that's my girl..a smart one at that!Amanii eh wakuu account ya mange kimambi haipo tena insta... Ishara zilianza tokea juzi watu walivoanza kusema huyu sio mange baada ya vitu vya ajabu kutokea kwenye ile account hatimae na mchana huu account yake haipo tena instagram sijui dada wa watu atakuwa kapatwa na nini, uthibitisho huu chini
View attachment 610509
Concept ya followers unaifahamu mkuu??....assume ulikuwa na followers million kumi then account yako ikafutwa,unafikiri ukifungua account mpya ni rahisi kuwapata tena hao followers million kumi??!Yes. Inaweza kuwa kweli maana ameanza kubadili namba za simu za whatups. Lakini kufunga na kufungua account kwenye mitandao ya kijamii ni raisi mno. watu wana account zaidi ya moja leo anafungua hii kesho ile. the old is gone the new is come.
Shida naona sasa mnakataa ukweli kwa vile dkk chache mmeshaanza kuona kazi bure mliofanya. mange akipost link hapa ya profile mpya dkk chache sana followers watakuwa wamekuja hewani.
Hakuna cha Vingunguti wala nini. Huyo Mange ni kajitu kadogo sana mbele ya nguvu za dola.[emoji23] Mange mnamjua au mnamsikia, Niulizeni mimi kipindi tupo nae Vingunguti
nilikuwa siamini....leo nimeamini....account yake imekwenda na maji.
my be kaamua kui-deactivate kwa mda...maana hilo nalo linawezekana.