Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Status
Not open for further replies.
e0cc16be491eb3e7428fbc970b74a8c6.jpg
d280fe51f2a8e7c8779fdeee593880e6.jpg

mange yupi mkuu?
 
Kuna wenye ' akili ' nyingi, mbinu na mikakati ya kuwashinda Mafia na System Mkuu? Hivi lakini unakijua unachokiongea au na Wewe upo humu ' Kupayuka / Kuzoza ' tu?
Kukubaliana nawewe inahitaji staha,btw staha mi sina so i argue.over
 
Kajambe uko huna hata haya, ona uso ulivyokushuka kwa kushushuka.
Asante Yahhe.Kwani wewe hujambagi ?basi utakuwa abnormal.Uso unaanzaje kunishuka hata 35 sijafika.
 
Yaani wamempata kirahisiii,wangemkosa hapo wangemtumia mzungu wakampa ma hela akamtongoza basi anapatikana very simple.
Tusubiri siku MK akiingia pale JK Nyerere..Nahisi atapokewa kwa shangwe, bila kusahau kalandinga! Pamoja na yote mie naona aingie rasmi chama pinzani, watampa ulaji wa Mbunge wa kuteuliwa, si kidogo aise...
 
sijawahi msikia akiingia insta live, tangu nimeanza kumjua, aibu yako, ungetulia kwanza kabla ya kuleta uzi victwa
Juzi mbona aliingia ?na bado soon anatumiwa mzungu,si anapenda wazungu wenye hela ?
 
Juzi mbona aliingia ?na bado soon anatumiwa mzungu,si anapenda wazungu wenye hela ?
sikuona, mie huingia kwa mange pale ninapokuwa nimemaliza pilika zangu nasoma na kutizama kisha nayaacha humo humo, subiri sasa hivi si ndio wanaamka, atakuja insta live
 
Nipo ' Gesti ' namchapa nao Dadako hapa huku natiririka na naserereka humu Jamvini kwa raha zangu hasa baada ya long mission kuwa accomplished professionally kabisa.
gentamycine, mbona una maneno makali hivi, akikutukana we achana nae, fanya yako, wanaweweseka kuona mange karudi hewani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom