Nyie angalieni ya kwenu mambo ya wenzenu ayawahusu,,yanga hii sio ya kusubilia utabiri wako uchwara!Wiki hizi mbili zimekuwa chungu sana kwa wana utopolo. Tumewananga kwa vikokotoo na hesabu za vijiti. Leo nitakuwa na akiba ya maneno.
Mechi ya Al Hilal vs Yanga inaenda kuisha kwa sare.
Kuhusu mechi ya mwisho na MC Algier, hilo ngoja niliweke kama akiba hadi siku husika.
Hongereni wana utopolo kwa kuongeza siku zenu za kuishi. Kazi kubwa imefanyika nyuma ya pazia.
princess ariana
Atoto