Akiba ya Maneno: Al Hilal na Yanga inaenda kuisha kwa droo

Nyie angalieni ya kwenu mambo ya wenzenu ayawahusu,,yanga hii sio ya kusubilia utabiri wako uchwara!
 
Hata goli moja linatosha, kikubwa point tatu..!! Unatesekea wapi?
 
Akiba ya maneno imekuponya.
 
Ikawaje sasa.
Ikawaje sasa.
 
Ungekuwa na akili timamu, ungejisikia vibaya sana unapo uangalia huu uzi wako.
 
Nilishawaambia msiwe na vihere here kuweka tabiri zenu uchwara hapa kwenye mechi za yanga,,yanga Hawa watakuwa wanawaaibisha Kila siku na kuonekana amnazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ