Nyie angalieni ya kwenu mambo ya wenzenu ayawahusu,,yanga hii sio ya kusubilia utabiri wako uchwara!Wiki hizi mbili zimekuwa chungu sana kwa wana utopolo. Tumewananga kwa vikokotoo na hesabu za vijiti. Leo nitakuwa na akiba ya maneno.
Mechi ya Al Hilal vs Yanga inaenda kuisha kwa sare.
Kuhusu mechi ya mwisho na MC Algier, hilo ngoja niliweke kama akiba hadi siku husika.
Hongereni wana utopolo kwa kuongeza siku zenu za kuishi. Kazi kubwa imefanyika nyuma ya pazia.
princess ariana
Atoto
Unateseka ukiwa wapi?Yanga hashindi hata kwa dawa mzee,nipo hapa.
Kila aliyelewa huwa anakuwa mbishi sana kukubali kuwa amelewa..!! Una uhakika hukulewa kweli?Nimeandika sijanywa hata bia moja.
Hata goli moja linatosha, kikubwa point tatu..!! Unatesekea wapi?Mipango kufanyika ya kuipa ushindi Yanga leo lazima wamuhusishe Moise Katumbi na TP Mazembe yake (labda kama ni ushindi wa goli 1) kumuhakikishia ushindi Al Hilal mechi ya mwisho. Naona Al Hilal wameona sare ni msaada unaotosha kwa sasa ili mambo yasiwe mengi. Yanga ikajipambanie mechi ya mwisho kuzitafuta hizo goli 3.
Kupanga matokeo hadi ya magoli ni kitu kigumu sana labda wacheze kama zile timu za NBC zinavyochezaga na timu fulani.
Upo wapi bintiYanga hashindi hata kwa dawa mzee,nipo hapa.
Nipo hapa Shoga anguUpo wapi binti
Bora angalau kolo mmoja anayejielewa uliona mbali ๐Mi naona Yanga atashinda
Huku ukiwa umebong'owa?Yanga hashindi hata kwa dawa mzee,nipo hapa.
Akiba ya maneno imekuponya.Wiki hizi mbili zimekuwa chungu sana kwa wana utopolo. Tumewananga kwa vikokotoo na hesabu za vijiti. Leo nitakuwa na akiba ya maneno.
Mechi ya Al Hilal vs Yanga inaenda kuisha kwa sare.
Kuhusu mechi ya mwisho na MC Algier, hilo ngoja niliweke kama akiba hadi siku husika.
Hongereni wana utopolo kwa kuongeza siku zenu za kuishi. Kazi kubwa imefanyika nyuma ya pazia.
princess ariana
Atoto
Ikawaje sasa.Wiki hizi mbili zimekuwa chungu sana kwa wana utopolo. Tumewananga kwa vikokotoo na hesabu za vijiti. Leo nitakuwa na akiba ya maneno.
Mechi ya Al Hilal vs Yanga inaenda kuisha kwa sare.
Kuhusu mechi ya mwisho na MC Algier, hilo ngoja niliweke kama akiba hadi siku husika.
Hongereni wana utopolo kwa kuongeza siku zenu za kuishi. Kazi kubwa imefanyika nyuma ya pazia.
princess ariana
Atoto
Ikawaje sasa.Wiki hizi mbili zimekuwa chungu sana kwa wana utopolo. Tumewananga kwa vikokotoo na hesabu za vijiti. Leo nitakuwa na akiba ya maneno.
Mechi ya Al Hilal vs Yanga inaenda kuisha kwa sare.
Kuhusu mechi ya mwisho na MC Algier, hilo ngoja niliweke kama akiba hadi siku husika.
Hongereni wana utopolo kwa kuongeza siku zenu za kuishi. Kazi kubwa imefanyika nyuma ya pazia.
princess ariana
Atoto
Ungekuwa na akili timamu, ungejisikia vibaya sana unapo uangalia huu uzi wako.Wiki hizi mbili zimekuwa chungu sana kwa wana utopolo. Tumewananga kwa vikokotoo na hesabu za vijiti. Leo nitakuwa na akiba ya maneno.
Mechi ya Al Hilal vs Yanga inaenda kuisha kwa sare.
Kuhusu mechi ya mwisho na MC Algier, hilo ngoja niliweke kama akiba hadi siku husika.
Hongereni wana utopolo kwa kuongeza siku zenu za kuishi. Kazi kubwa imefanyika nyuma ya pazia.
princess ariana
Atoto
Nipo nae huku namla NUKTAUpo wapi binti
Utabiri uchwara
Ikawaje sasa.
Ikawaje sasa.
Ungekuwa na akili timamu, ungejisikia vibaya sana unapo uangalia huu uzi wako.
Nilichosema ndiyo kimetokeaNilishawaambia msiwe na vihere here kuweka tabiri zenu uchwara hapa kwenye mechi za yanga,,yanga Hawa watakuwa wanawaaibisha Kila siku na kuonekana amnazo
Kivipi...?Nilichosema ndiyo kimetokea
Yanga and simbachawene are qualifyingMmeanza kutetemeka......na points zenu 9 ghafla hofu imewajaa๐๐๐
Nini kilitokeaYanga hashindi hata kwa dawa mzee,nipo hapa.