Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,166
- 3,077
Habari wanajukwaa.
Kwa wajuzi nisaidieni.
Mpenzi wangu kila akifika kileleni basi ni balaa anajisikia kichefu chefu tumbo linauma ,anadai linakaza mno na pia anajisikia kuchoka kuliko kawaida ,inafikia hatua tunahairisha kazi.
Hili tatizo sio siku moja,yaani ni kila siku tukikutana kimwili.
Naombeni wajuzi mnijuze, kama ni tatizo au sio na nifanye nini ili kuliepuka, maana nampenda sana mpenzi wangu.
Kwa wajuzi nisaidieni.
Mpenzi wangu kila akifika kileleni basi ni balaa anajisikia kichefu chefu tumbo linauma ,anadai linakaza mno na pia anajisikia kuchoka kuliko kawaida ,inafikia hatua tunahairisha kazi.
Hili tatizo sio siku moja,yaani ni kila siku tukikutana kimwili.
Naombeni wajuzi mnijuze, kama ni tatizo au sio na nifanye nini ili kuliepuka, maana nampenda sana mpenzi wangu.