Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
ICC kusema Waziri Mkuu wa Israel akamatwe Kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu, naona kunashadadiwa Sana na baadhi ya watu.
Lakini makosa ya Netanyahu yanafanana Sana na makosa anayotuhumiwa nayo Rais wa Urusi Valdmir Putin.
Jee akikamatwa Netanyahu kufanyike pia harakati za kumkamata Putin!!??
Lakini makosa ya Netanyahu yanafanana Sana na makosa anayotuhumiwa nayo Rais wa Urusi Valdmir Putin.
Jee akikamatwa Netanyahu kufanyike pia harakati za kumkamata Putin!!??