Akikamatwa Netanyahu na Putin naye akamatwe

Akikamatwa Netanyahu na Putin naye akamatwe

Putin ana tuhumiwa kuhamisha
watoto 2000 kwa razima kutoka
Ukraine na kuwapeleka Urusi ,yaani ni kama vile aliwaiba kutoka nchi yao mama,japo Urusi inadai wamepelekwa kule kwa ajili ya usalama.
Netanyau ana tuhumiwa kuuwa watoto zaidi ya 15,000 ,hayo ni mashitaka mawili tofauti japo yote kwa tafisiri ya kisheria ni uharifu.

Hata hivyo kwa muundo wa mahakama hii ni ngumu kuwafikisha mbele ya sheria watuhumiwa kwa sababu haina chombo maalumu cha kutekelezeka warrant ,badala yake ina wategemea nchi wanachama wake kutekeleza iwapo mtuhumiwa atakanyaga ndani ya nchi mwana chama.
Pamoja na hayo hupunguza uhuru hasa wa kusafiri kwa watuhumiwa kwa kuhofia kukamatwa.

Mfano Putin kwa sasa hawezi kwenda nchi zenye mwelekeo wa kimagharibi.

Netanyau kwa sasa hawezi thibutu kwenda nchi za America za kusini.
Watakamatwa na wenzao ndani ya nchi zao siku moja.
 
ICC kusema Waziri Mkuu wa Israel akamatwe Kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu, naona kunashadadiwa Sana na baadhi ya watu.

Lakini makosa ya Netanyahu yanafanana Sana na makosa anayotuhumiwa nayo Rais wa Urusi Valdmir Putin.

Jee akikamatwa Netanyahu kufanyike pia harakati za kumkamata Putin!!??
Norway wamesema Bibi akienda Wanapita naye Mazima 🤣🤣
 
Aende tu hata kama hana mpango wa kwenda huko.

Lakini watu kwa unafiki tu hamjambo, yaani nyie watu leo mnawasifia Narway "Makafiri," ❓❗😲
Hao wape hata tende tu na kukuabudu watakuabudu
 
ICC kusema Waziri Mkuu wa Israel akamatwe Kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu, naona kunashadadiwa Sana na baadhi ya watu.

Lakini makosa ya Netanyahu yanafanana Sana na makosa anayotuhumiwa nayo Rais wa Urusi Valdmir Putin.

Jee akikamatwa Netanyahu kufanyike pia harakati za kumkamata Putin!!??
Makosa ya Netanyau na Putin hayafanani,Netanyau analipiza kisasi kutokana na nchi yake kuvamiwa na kuawa na kutekwa kwa raia wa nchi yake tofauti na Putin ambaye kaivamia nchi ambayo haikutenda kosa dhidi ya nchi yake,kama kungekuwa na haki Putin ndiye aliyekuwa wa kukamatwa.
 
Makosa ya Netanyau na Putin hayafanani,Netanyau analipiza kisasi kutokana na nchi yake kuvamiwa na kuawa na kutekwa kwa raia wa nchi yake tofauti na Putin ambaye kaivamia nchi ambayo haikutenda kosa dhidi ya nchi yake,kama kungekuwa na haki Putin ndiye aliyekuwa wa kukamatwa.
Loo! Kumbe hujui Ukandamizaji na ukatiri uliokuwa ukifanywa na Ukraine dhidi ya minority wa Russia waliokuwa wanaishi ndani ya Ukraine baada ya Soviet kuanguka 1991?
Hujui kama US ilikuwa na mipango ya kuitumia Ukraine kuivamia Russia?
 
Loo! Kumbe hujui Ukandamizaji na ukatiri uliokuwa ukifanywa na Ukraine dhidi ya minority wa Russia waliokuwa wanaishi ndani ya Ukraine baada ya Soviet kuanguka 1991?
Hujui kama US ilikuwa na mipango ya kuitumia Ukraine kuivamia Russia?
Tupe ushahidi vinginevyo ni porojo za masjid ubwabwa tu.
 
ICC ni mbwa anayebweka lakini hana meno,labda ipo kwaajili ya Waafrica tu kina Omar Ally Bashir
 
ICC kusema Waziri Mkuu wa Israel akamatwe Kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu, naona kunashadadiwa Sana na baadhi ya watu.

Lakini makosa ya Netanyahu yanafanana Sana na makosa anayotuhumiwa nayo Rais wa Urusi Valdmir Putin.

Jee akikamatwa Netanyahu kufanyike pia harakati za kumkamata Putin!!??
Putin una.fananisha na Netanyahu hivi wewe uko sawa kichwani kweli? Putin hauwi civilian angekuwa anafanya kama anavyo fanya Netanyahu Kyiv ingeisha kuwa zamani kama Gaza.

Pili level ya Putin huwezi ifananisha na huyo kibaraka wa USA.

Level ya Netanyahu kwenda sahfsha viatu vya Yanya Sinwar 😄

Israel anambiwa na kijana wa Hamasi awe mkweli aseme wanajeshi wake wangapi wamekufa


View: https://youtu.be/hLDJniufaXw?si=6CuQLoyaEIfC25Fp

Jana hio


View: https://youtu.be/EhMGk8jVA7w?si=sDeAgsprJ8OmWtta
 
Kama umechukia jinyonge. Tena nawasadia Spain na Ireland kwa kuunga mkono uhuru wa palestina. Bila kusahau ujerumani na ufaransa kwa kutamka leo kuwa Netanyahu akikanyaga kwenye nchi zao watamkamata na kumpeleka the Hague. Haya kufa sasa kwa hasira sana kwa namna nilivyo kukera.
Hakuna wa kumkamata Netanyahu hizo ni porojo tu za kuwahadaa waarabu kwa sababu ni jamii ya watu mbumbumbu ni kama waafrika tu.
 
Loo! Kumbe hujui Ukandamizaji na ukatiri uliokuwa ukifanywa na Ukraine dhidi ya minority wa Russia waliokuwa wanaishi ndani ya Ukraine baada ya Soviet kuanguka 1991?
Hujui kama US ilikuwa na mipango ya kuitumia Ukraine kuivamia Russia?
Hizo habari zà US kuitumia Ukraine kuivamia Russia ni habari za kufikirika kwani us haiwezi kunusa hata pua take kwa kutaka kuivamia Russia wakati inajua kuwa kuivamia Russia ni kutafuta kuiangamiza dunia labda kama ni Russia ya kufikrika lakini kama ni Russia hiihii us haiwezi ikathubutu wakati hata Iran yenyewe us inaigwaya.

Pia mpango huo ungekuwepo wakati huu ambao Russia imeivamia Ukraine ndio iliokuwa nafasi ya us kuivamia Russia.
 
Netanyahu hajafanya makosa yoyote ni kama Idd Amin alivamia Tz kagera akachinja watz tukamfuata Uganda, Netanyahu asisikilize wajinga waliohongwa na waarabu wenye chuki ya kibaguzi dhidi ya wayahudi, eti hawafai kuwepo duniani wakati taifa lao lilikuwepo miaka 3,000 iliyopita. Israel ina haki ya kujilinda utaifa wake na raia wakena kujibu mapigo, kwa video ya leo, Israel isipangiwe namna ya kuwaadhibu magaidi, damu ya raia wa Palestina itakuwa juu ya magaidi wa Hamas wanaojificha miongoni mwa raia,
Umeongea utumbo sawa na utumbo unaoula kwa shemeji yako hapo.
Unaweza ukatutajia Israel ilikua inaitwaje kabla ya 1947!?
Israel iliwekewa mipaka na ramani zilichorwa wakapewa na Jerusalem wanayodai ardhi yao toka 1947,kipi kimewafanya waipunguze ardhi ya Palestina!?
Kabla ya oktoba 7 unapaswa ufahamu Israel ilikua ikivunja nyumba,ikichoma mashamba na ikikamata watoto chini ya umri wa miaka 12 na kuwasweka jela ya jeshi.
Jenin Israel kwa kuwafadhili jewish settlers imekua ikivunja nyumba ili kupanua makazi ya WAZAYUNI.
JE HUU SIO UGAIDI!?
Gaidi mkuu ni Israel.
Baada ya hili tukio Television zilitangaza sana na Palestina walikua wakiomba msaada sana ila je walisikilizwa!?
Hawakusikilizwa ndio maana wakaamua kuvamia Israel.
Kama hujui kitu uliza kuliko kuropoka.
 
Kawaida tu hata Putin aligwaya kwenda S.A pamoja na kuwa ni mshirika wake wa kufa na kuzikana maana angeenda tu sa hizi ingekuwa tunaongea mengine.
Putin Afrika katembelea na mataifa mengine katembelea ikiwemo China.
Mbona hawakumsogelea?
 
Hizo habari zà US kuitumia Ukraine kuivamia Russia ni habari za kufikirika kwani us haiwezi kunusa hata pua take kwa kutaka kuivamia Russia wakati inajua kuwa kuivamia Russia ni kutafuta kuiangamiza dunia labda kama ni Russia ya kufikrika lakini kama ni Russia hiihii us haiwezi ikathubutu wakati hata Iran yenyewe us inaigwaya.

Pia mpango huo ungekuwepo wakati huu ambao Russia imeivamia Ukraine ndio iliokuwa nafasi ya us kuivamia Russia.
Bro unakijua kitu kinaitwa PROXY WAR!?
Ni kweli USA+NATO wameitumia Ukraine as a proxy kuivamia Russia.
Na hii sio mara ya kwanza,rejelea nyuma zile vita za Chechen ambazo Taliban nao walihusishwa kuivunja USSR.
USA ndio ilipanga kila kitu na iliwafadhili chechens na Taliban kuanza mapinduzi ya kijeshi USSR,mwishowe USSR ikaparaganyika.
Inamaana USA aliwatumia chechens na Taliban kama proxies dhidi ya USSR.
Na ndio sawa na anachokifanya sasa hivi kwa kutumia UKRAINE.
 
Back
Top Bottom