Akikuonya uachane na mkewe, acha usilazimishe yasikukute kama haya

Sasa huwez jua jamaa ka sacrifice kwa kiasi gani,ndio maana nasema oa mke unaempenda haswa af atokee mtu anakutombea kisenge! Wewe hujui uchungu wa mapenzi. Oa kwanza ndio utajua kwanini watu wanafira
 
Mambo siyo simple kama unavyofikiria mkuu
 
Sijui kwanini watu waliopo mikoani hua na hasira sana either wapenzi wao wakiwa wanaliwa mara nyingi jamaa hua wanaishia kukatisha maisha yao
 
ukiona mkeo anachepuka, na ukathibitisha.....aiseeee huyo sio mkeo tena......muulize anahitaji nauli kiasi gani na vyote anavyohitaji ndani ya nyumba abebe......mpaka anachekupa na ukajua,,,,keshakazwa balaaa na hakutaki tena huyo...ila inabaswa uwe na busara za hali ya juu......usijefanya mleta mada.......
 
Mkuu mimi nina mke na ninapenda.

Lakini eti niue kwa upuuzi kma huo hapana aisee.
Kuumia unaumia lakini siwezi kufikia hatua hiyo.

Au labda inategemea na mazingira ambayo mtu amekulia.kuna maeneo kwao kawaida kuchinjana na kuuwana kikatili bila ya uchawi.
Kuna maeneo kwao kunyonga ni kawaida sana.
Labda wewe umekulia maingira hayo.

Lakini kwa mimi ambae toka nazaliwa mpaka sasa najitegemea sijawahi kuona baba na mama yangu wakipigana na kugombana(labda huko chumbani) huo upuuzi najifunzia wapi?

Sasa huwez jua jamaa ka sacrifice kwa kiasi gani,ndio maana nasema oa mke unaempenda haswa af atokee mtu anakutombea kisenge! Wewe hujui uchungu wa mapenzi. Oa kwanza ndio utajua kwanini watu wanafira
 
Mkuu mtoa mada tukio limetokea wapi na wahusika ni waenyeji wa makabila gani?
 
Mkuu ukishatumia gari na mauaji yakatokea barabarani hio inakua ni traffic case mzee..
Okay case closed sitaki kukubishia kwa kuwa uelewi nachoongea wala nachomaanisha unachukulia vitu simple sana ile mawazo ya vijiweni sio kuwaza critically
 
Usidhani vitu ni rahisi hivyo. Kwanza ajali itokee halafu aliyegonga ni mume wa aliyegongwa na mchepuko wake. Usidhani vyombo vya usalama ni wavivu wa kufikiria kama unavyowaza.
hii kesi yake ni kunyongwa hadi kufa wala haichukui mda maana dhamira ya kuua alikua nayo na kifaa pia
 
hii kesi yake ni kunyongwa hadi kufa wala haichukui mda maana dhamira ya kuua alikua nayo na kifaa pia
Mtoa mada anachukulia vitu simple sana yaani anadhani kwa kuwa ni ajali itachukuliwa lightly tu kuwa ni ajali wakati nia ya muuaji ilikuwa inaeleweka
 
Wewe utakuwa unawala sana wake za watu. Yatakufika tu. Achana nao
 
Hii stor itakuwa ya kutunga tu, yaan una mpnz uache gar wakuletee pikipiki guest, kwel??
Ukiachana na wizi hio haipo
 
Okay case closed sitaki kukubishia kwa kuwa uelewi nachoongea wala nachomaanisha unachukulia vitu simple sana ile mawazo ya vijiweni sio kuwaza critically
Sio tu mawazo ya vijiweni mimi pia ninayo kesi ya traffic, pia rejea kilichotokea kwa Chenge ile ilikua ni murder sema sababu ni barabarani ndo imekua traffic case..itakua unazungumzia mambo ya actus reus na mens rea...
 
Nimeoa mkuu lakini mke wangu akichepuka siwezi kufanya huo ujinga hata siku moja.

Mtu umeshamuacha tayari alafu unaendelea kumfaatilia mkuu?
Kama huyo mke alikuwa anabakwa sawa lakini kama anafanya kwa ridhaa yake naona jamaa alipanick sana
Kweli hata mimi mke wangu kama anang'ang'ania kuchepuka namtimua sababu sitaki stress za maisha...yaani unajua kabisa unat..mbewa..bado unapata muda na huy mshenzi??? huo muda huwa sina kabisa.....kama ni watoto tutajipanga kivingine ili wasipate madhara sana..ila siwezi kukaa na takataka kama hiyo ndani kwangu
 
Unavyotaja 4 ways unanikumbusha "bati jekundu", "kwa Swai", na "Revola"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…