Akikuonya uachane na mkewe, acha usilazimishe yasikukute kama haya

[emoji3]
 
Wabishi watakupinga na hili wakidai umejitungia, Watu hatufanani na si kila Mtu ana uwezo wa kuvumilia yanayomsibu ndiyomaana wengine huua na hujinyonga.
 
Au ndio hawa tumewazika kijiji Lugala
 
Mwanaume mwenye tabia ya kutembea na wake za watu siku zote anajiamini na kwa jinsi alivyofanikiwa kukuzunguka haamini kama siku moja anaweza fumaniwa...
 
Yameisha siongezi neno
 
Ndo mana yesu akafa msalabani kumbe?

Na pale mnaposema kwamba binadamu asimhukumu binadamu mwenzie mna maana gani?

Au pale mnapotoa kisa cha mzinifu akawa anataka kupigwa kisha akainuka mtu akasema "ambae ni msafi kabisa hana dhambi basi ampige huyo mzinifu" alafu hakuinuka mtu je hivyo visa vina maana gani?
Mshahara wa dhambi ni mauti "Bible verses"
 
Nimeoa mkuu lakini mke wangu akichepuka siwezi kufanya huo ujinga hata siku moja.

Mtu umeshamuacha tayari alafu unaendelea kumfaatilia mkuu?
Kama huyo mke alikuwa anabakwa sawa lakini kama anafanya kwa ridhaa yake naona jamaa alipanick sana
Ngoja nije nimchukue mkeo halafu nikutumie na video nzima,.
 
Yani kabla ya tukio uwe na matokeo.
Mimi matokeo nishayapanga kabla ya tukio kwamba naacha niumie kwa muda nitapoa.
Ngoja nije nimchukue mkeo halafu nikutumie na video nzima,.
 
Tahadhari muhimu sana mkuu.
Kuchepuka sio issue
Ukiona mtu anakukataza kwamba achana na mke wangu Jua ashakumaliza ananawa tu mikono kama Pilato ili damu yako iwe juu yako
 
Defense ya provocation inaweza kuwa applicable kama kitendo kitakuwa kimefanyika muda ule ule ambao aliwafumania.

Mazingira hayo yanaonesha kuwa kulikua na muda mrefu wa kufanya maamuzi mengine,(time for cooling) kwakuwa aliwafuata kwa muda mrefu na kuwagonga.
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu... Road Traffic Act imewalinda mno madereva.
 
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…