Hao wa aina hio ndio wanatufelisha, mtu kwa kuwa baba yake aliporwa ugali basi naye atatumia mabavu kupora mali na kukomesha watu kama kisasi hii haikubaliki kwanza utawala huu sio wa kifalme kwamba familia zile zile ziendelee kupeana madaraka kwa hisani vizazi kwa vizazi!Comrade Extrovert leo umefunguka eheheee, but bado nalia na hawa viongozi wa kipewa madaraka kutokana na baba zao nao wanatuharibia nchi kwa kujitosa kupambana na nafsi isiyokuwepo.
Hao anaowaua wangekaa na kutulia na wake zao na kubalansi shobo nani angehangaika nao? Mbona wewe na mimi bado tupo licha ya uwepo wa Magufuli kwa miaka mitano?mkuu umevamia siasa, umenifanya niifute vumbi miwani nikirejea kusoma ID yako, nakushauri unywe maji mengi kisha upande kitandani upumzike.
hitimisho lako limeonesha ulivyomweupe kisiasa, yaani mtu aue, atese watu, adhulumu watu, madam anakupa huduma basi kwako ni bora?
Waache wapige makelele ila Magufuli amedhihirishia ulimwengu kuwa alikuwa mwamba with good intentions for Tanzanians growth. He was a visionary leader pamoja na madhaifu yake vision yake ilikuwa dhahiri.Wana nia ovu kupora nchi kuwspa mabeberu. Wanajua effect ya magufuli ni kubwa sana ndani ya mioyo ya watu. Mkakati wao eti wanafikiri wanaweza kufanya watu waone magufuli alikosea na wao ndio wanaanza kurekebisha. Unaona intellect ya architects wa mkakati wao ilivyo dhaifu. Mtu kama nape na january kid and fadher na genge lote la wale waliyokua wanaplot against jpm. They are naïve kufikiri wanaweza kupambana na magufuli na kumshinda japo kafa. Magufuli is an idea ambayo imezama deep in the minds of tanzaniamns and africans. In fact ni ujamaa na kujitegemea revived with new vigour.
Kukopa sio ishu, mipango alioazimia kutekeleza aliitekeleza ama la? Tuanzie hapo kwanza"Mkuu hapo unaposema baba mbabaishsji hata angekuwa paroko ni kazibure"! kwani unawezamtofautisha vipi Mwendazake na baba wa aina hiyo???.....Alikuwa akijinasibu kuvunja record ya ukusanyaji mapato, lakini kumbe ndiye aliyekopa pakubwa kuliko marais wote huku akiteleza miradi ya miundombinu tu!
baba asiyeweza kuajiri wahitu au hata kuongeza kipato tu cha watoto wake wanaomtumikia hatufai! Tumuombee tu apumzike kwa amani lakini baba huyo aliumiza wengi!
acha kumfananisha Gaddafi na mambo ya kipuuzi
Hata angejenga anga nyingine juu ya eneo la Tanzania,kama alikua mtu mmoja tu,huyo hafai kusafishwa kwani tayari ameshakua Raisi mbaya kabisa katika historia ya nchini hii.Salama humu,
Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!
Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.
Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.
Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.
Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
Kwa hiyo wewe ndio umeiona hilo ndio la mama aliweza kuliondoa?Unanijua mimi ni nani?
Tumerudi awamu ya nne ya JK. Hapa bila CDF haifiki 2025
Bas endelea kupiga spana hivyo hivyo watalegea tuWanafutaga nyuzi zangu sababu zimejaa spana😅
JPM na mapungufu yake mengi , hawa ndugu zetu wamezidi wanatulaza gizani na kuturudisha kwenye visima kwa ajili ya ukilaza na uvivu wao. Nimejaribu kuwaelewa lakini nimeshindwa.Sa hv nchi ina uongozi wa hovyo zaidi , jiwe naye alikuwa wa hovyo , Ila angalau umeme , maji na barabara alijitahd, huyu hangaya na timu yake ya watu wa Pwani hawez lolote...!! Hata wanaomshangilia soon wataanza kuumana
Ulaya ya sasa ilijengwa kwa udikteta. Pyramid za Misri zilijengwa na watumwa. Ukuta wa China ulijengwa kwa mijeledi.
Demokrasia, kwa nchi maskini, itaongeza umaskini. Wachache, hasa viongozi na wapambe wao matajiri, watafaidi na wengi watakuwa kwenye kundi la wanyonge.
KAZI IENDELEE kwa ari mpya, nguvu mpya, na kas
Ulaya ya sasa ilijengwa kwa udikteta. Pyramid za Misri zilijengwa na watumwa. Ukuta wa China ulijengwa kwa mijele
Ukweli mtupu demokrasia kuna mahala inatuchelewesha sanaUlaya ya sasa ilijengwa kwa udikteta. Pyramid za Misri zilijengwa na watumwa. Ukuta wa China ulijengwa kwa mijeledi.
Demokrasia, kwa nchi maskini, itaongeza umaskini. Wachache, hasa viongozi na wapambe wao matajiri, watafaidi na wengi watakuwa kwenye kundi la wanyonge.
KAZI IENDELEE kwa ari mpya, nguvu mpya, na kasi
Sio Africa...Ukweli mtupu demokrasia kuna mahala inatuchelewesha sana
Hapo mwishoni umemalizia kwa mahaba hadi Raha.Salama humu,
Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!
Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.
Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.
Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.
Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
plus mbolea mfuko laki moja yaani haya mataira matoto ya mama asijielewa sijui yanatumia matako kufikiriabidhaa sokoni haziko stable,kila baada ya wk Bei znapanda.na tumeambiwa mwaka huu mvua nazo hazitakuwa stable,duuh sijui itakuwaje!
Daa Magufuli atakumbukwa kweli , nimeshangaa likes ulizopata, hii inaonesha watu wanataka mtu mtendaji sio wa maneno na kulembua macho Kama yule msagaji wao na Macho yake MakubwaSalama humu,
Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!
Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.
Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.
Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.
Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!