Akili kubwa - Kenyan Law Students Beat Havard's in John H. Jackson Moot Court Competition

Akili kubwa - Kenyan Law Students Beat Havard's in John H. Jackson Moot Court Competition

Vipanga hawasomi law hua Ni medicine Au engineering hapana tambua vilaza kwa jukwaa
 
Lugha ya kusomea na kuzungumza ni tofauti. Ni vigumu kuongea lugha kwa ufasaha wakati huitumii kwenye maisha yako ya kila siku. Hata discussions za masomo tunazifanya kwa kiswahili. Kama sio mtanzania unaruhusiwa kukosoa ila kama wewe ni mtanzania na umesoma hapahapa basi ni lazima unajua ugumu uliopo

Ahaaa haaa haaa
mimi kakiingereza nakajua kidogo, lkn wala sina wasiwasi kwa maana kinacho takiwa kwangu ni ujuzi tu, na wala si lugha. ingekuwa lugha ya kiingereza ni taaluma, basi kila mwingereza au mzimbabwe angekuwa mtaalam.
 
Wetu wa kutoka Dar es Sluum University hata wakiwa na PhD in Chemistry wanashindwa kujadilia hoja na kuiwakilisha Nchi Kama other Heads of State....Catarist, Dona kantri, Air hostages, barozi( eliakeem ) joto la jiwe ongeza zingine from Dona kantri. 😂😂😂
kilaza wewe unajua ni kiingereza ndio kimewabeba sio maarifa?
 
Back
Top Bottom