Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha ya kusomea na kuzungumza ni tofauti. Ni vigumu kuongea lugha kwa ufasaha wakati huitumii kwenye maisha yako ya kila siku. Hata discussions za masomo tunazifanya kwa kiswahili. Kama sio mtanzania unaruhusiwa kukosoa ila kama wewe ni mtanzania na umesoma hapahapa basi ni lazima unajua ugumu uliopo
kilaza wewe unajua ni kiingereza ndio kimewabeba sio maarifa?Wetu wa kutoka Dar es Sluum University hata wakiwa na PhD in Chemistry wanashindwa kujadilia hoja na kuiwakilisha Nchi Kama other Heads of State....Catarist, Dona kantri, Air hostages, barozi( eliakeem ) joto la jiwe ongeza zingine from Dona kantri. 😂😂😂