jojoe35
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 262
- 378
Habar wadau, hii APA ni akili kubwa kuusu nan ni bora zaid kati ya hawa maharamia wawili wa mzik wa bongo fleva.
Natoa facts tu (zikikuuma its for ur own risk)
1. Alikiba ni mkongwe kwenye game kuliko diamond (Diamond onyesha heshima kwa kaka mkubwa)
a)
2. Alikiba ana saut nzur ya kuimba kuliko Diamond ( apa ukabali ama ukatae iko ivo)
3. Diamond ni msanii Alikiba ni mwanamzik ( kumbuka mzik umo ndan ya sanaa)
4. Diamond tang aanze mzik 2008 amekua na muendelezo wa kupanda grade kila mwaka had sasa tuzo kubwa anayo miliki ni [HASHTAG]#worldwideact[/HASHTAG] [HASHTAG]#msaniiboraduniani[/HASHTAG] [HASHTAG]#MTVEMA[/HASHTAG]( Hongera zake)
5. Alikiba tang aanze mzik 2003 alikua na muendelezo wa kupanda grade ad akashirikishwa na R Kelly kweny project ya one8 akaona "imetosha" iyo ndo highest achievement aliyofika kabla ya Diamond kutoka( Tusidanganyane Jules watoto) (inaitwa kila mbuz na uref wa kamba yake)
Natoa facts tu (zikikuuma its for ur own risk)
1. Alikiba ni mkongwe kwenye game kuliko diamond (Diamond onyesha heshima kwa kaka mkubwa)
a)
2. Alikiba ana saut nzur ya kuimba kuliko Diamond ( apa ukabali ama ukatae iko ivo)
3. Diamond ni msanii Alikiba ni mwanamzik ( kumbuka mzik umo ndan ya sanaa)
4. Diamond tang aanze mzik 2008 amekua na muendelezo wa kupanda grade kila mwaka had sasa tuzo kubwa anayo miliki ni [HASHTAG]#worldwideact[/HASHTAG] [HASHTAG]#msaniiboraduniani[/HASHTAG] [HASHTAG]#MTVEMA[/HASHTAG]( Hongera zake)
5. Alikiba tang aanze mzik 2003 alikua na muendelezo wa kupanda grade ad akashirikishwa na R Kelly kweny project ya one8 akaona "imetosha" iyo ndo highest achievement aliyofika kabla ya Diamond kutoka( Tusidanganyane Jules watoto) (inaitwa kila mbuz na uref wa kamba yake)